Tag: mboga
- by adminleo
- May 12th, 2020
AKILIMALI: Amekitegemea kilimo cha mboga na nyanya kimapato kwa miaka kadhaa
Na PHYLLIS MUSASIA KIJIJI cha Kipsoni, Moiben, Kaunti ya Uasin Gishu si tofauti na maeneo mengine nchini. Wakazi wengi wa hapa...
- by adminleo
- April 6th, 2020
“Nimezoea maisha ya kafyu, biashara si mbaya vile’
Na GEOFFREY ANENE KAFYU inayolenga kuzuia uenezaji wa virusi vya corona imeathiri vibaya sekta nyingi za maisha kote duniani. Huku...
- by adminleo
- December 5th, 2019
KILIMO CHA MBOGA: Brokoli ni aina za mboga zenye faida tele kiafya na kimapato
NA SAMMY WAWERU BROKOLI ni aina za mboga kama kabichi na ambazo huchanua maua yanayoliwa. Ingawa hulka zake zinawiana na za kabichi,...
- by adminleo
- December 5th, 2019
KILIMO CHA MBOGA: Shule inavyojitosheleza kwa aina zote za vyakula kupitia kwa kilimo
Na PETER CHANGTOEK TAKRIBANI mita 700 kutoka mjini Chuka, ndipo ilipo Shule ya Upili ya Wavulana ya Chuka. Shule hii imejengwa katika...
- by adminleo
- November 30th, 2019
Jinsi mboga aina ya spinachi zinavyompa mkulima faida
Na SAMMY WAWERU KWA muda wa zaidi ya miaka 20 mfululizo, Bw Charles Mwangi amekuwa akikuza mboga aina ya spinachi katika eneo la...
- by adminleo
- October 24th, 2019
KILIMO NA UCHUMI: Mateso aliyopata mjini yalimfanya arejee kijijini anakovumishia kilimo cha mboga sasa
Na GRACE KARANJA KWA wakati mmoja, Monicah Muthoni alifikiri kuwa kusaka kazi mijini kungemfaidi lakini rafiki yake alimwonya kwamba...
- by adminleo
- October 4th, 2019
UFUGAJI: Mboga za kijani ni muhimu katika kuwapa kuku madini ya Vitamini
Na SAMMY WAWERU UKIZURU yumkini katika kila boma, hasa mashambani kuna mifugo na ndege wa nyumbani ambao hutakosa kuwaona. Nao ni...
- by adminleo
- September 10th, 2019
Mboga za tangu na tangu zina umuhimu mkubwa kiafya
Na SAMMY WAWERU CHAKULA asilia ni mazao yaliyokuzwa kwa kuzingatia mfumo wa kilimohai. Aidha, huu ni mfumo ambapo mazao yanazalishwa...
- by adminleo
- September 5th, 2019
AKILIMALI: St Claire inavyohusisha wanafunzi katika kilimo kinachookoa gharama
Na RICHARD MAOSI TAKRIBAN kilomita mbili kutoka mjini Naivasha tunakumbana na wanafunzi wa Shule ya Wasichana ya St Claire of Assisi...
- by adminleo
- September 5th, 2019
UKUZAJI MBOGA: Maarifa yanayohitajika katika kukuza kabichi zenye faida kwa mkulima
Na GRACE KARANJA KABICHI hukuzwa na wakulima wa ngazi zote; wakulima wadogowadogo pamoja na wale wanaolima katika mashamba...
- by adminleo
- September 5th, 2019
UKUZAJI MBOGA: Mama anayefanya makuu kwa kukuza mboga za aina mbalimbali
Na CHRIS ADUNGO KAZI ya ukulima imempa Bi Mary Gichui ajira tosha inayomwezesha sasa kujisimamia na kukimu mengi ya mahitaji yake na ya...
- by adminleo
- July 26th, 2019
SIHA NA LISHE: Vyakula vinavyoimarisha uwezo wa kuona
Na MARGARET MAINA [email protected] KULA vizuri kuna manufaa mengi kwa ajili ya miili yetu. Kando na karoti, kuna...