Tag: MGANGA
- by adminleo
- October 18th, 2018
Ushahidi dhidi ya mganga wa Kangundo wakosekana, aachiliwa huru
NA RICHARD MUNGUTI MGANGA maarufu wa Kangundo, Kaunti ya Machakos, Bi Annah Mutheu Ndunda (pichani) aliyekamatwa wiki iliyopita kwa tuhuma...
- by adminleo
- October 10th, 2018
Kioja pasta kusaka tiba kwa mganga
Na DENNIS SINYO Kaimosi, Vihiga WAUMINI wa kanisa moja eneo hili walimlaumu mke wa pasta wao kwa kumshawishi mumewe wampeleke mtoto...
- by adminleo
- October 9th, 2018
Mganga wa Kangundo ndani kwa wizi wa magari
Na GASTONE VALUSI MGANGA mashuhuri mjini Tala katika eneo la Kangundo, Kaunti ya Machakos, Jumanne alitiwa nguvuni na maafisa wa polisi...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Mganga asakwa kwa dai la ‘kufunga’ mvua
Na DENNIS SINYO Mlima Elgon, Bungoma MGANGA mmoja aliyekuwa akihudumu eneo hili alilazimika kujificha kwenye mapango baada ya...
- by adminleo
- July 30th, 2018
Kisanga polo kufumania mganga akichovya asali yake
Na TOBBIE WEKESA Kibabii, Bungoma Kalameni mmoja kutoka hapa, alimtimua mganga baada ya kubaini kwamba alikuwa paka asiyeachiwa...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Kakangu huenda kwa mganga akitaka kuniangamiza, polo aambia kijiji
Na TOBBIE WEKESA NYATIKE, MIGORI Kalameni mmoja kutoka hapa aliwashangaza wazee alipowaambia kwamba ndugu yake huenda kwa mganga...
- by adminleo
- June 11th, 2018
Mganga mashakani ndumba zake kushindwa kunasa vipusa
KORINDA, BUSIA Na DENNIS SINYO MGANGA mmoja mtaani hapa alitoroka sokoni baada ya wateja wake kumvamia kutaka kumchapa wakidai...
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Wazazi wasaka waganga kutambua wanafunzi wanaochoma shule
NA KALUME KAZUNGU WAZAZI wa shule ya Upili ya wavulana ya Lamu Bujra sasa wanautaka usimamizi wa shule hiyo kutafuta huduma za mpiga ramli...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Pasta aalika mganga atibu wanawe walevi
Na CORNELIUS MUTISYA NZAIKONI, MACHAKOS Pasta mmoja maarufu eneo hili, aliwaacha majirani wakiwa wameduwaa alipomualika mganga...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Ajuta kukopa Sh700,000 kutoka kwa benki kulipa mganga
Na WAANDIDHI WETU MWANAMUME aliyechukua mkopo kumlipa mganga amsaidie kumrudisha mkewe aliyetoroka, sasa anataka mganga huyo ashtakiwe...