Tag: MIWA
Wakulima walalamikia kanuni mpya za miwa
Na RUTH MBULA WAKULIMA wa miwa eneo la Trans Mara wamepinga kanuni mpya zilizoanzishwa na kampuni ya sukari ya Trans Mara, ya kutovuna...
RIZIKI: Kilimo cha miwa katika eneo la mimea inayochukua muda mfupi kinampa tabasamu
Na SAMMY WAWERU KATIKA kijiji cha Gatumbiro, Ol Joro Orok, Kaunti ya Nyandarua Dison Wanjohi ni mkazi mwenye shughuli chungu nzima...
Wakuzaji miwa walia hatua ya viwanda itawaletea hasara
Na GEORGE ODIWUOR WAKULIMA wa miwa katika kaunti za Migori na Homa Bay, wanahofia hasara kubwa, baada ya usimamizi wa kampuni za kusaga...
‘Kilimo cha miwa Mlima Kenya kina uwezo wa kuvuna Sh20 bilioni kwa mwaka’
Na MWANGI MUIRURI WAKULIMA wa miwa katika ukanda wa Mlima Kenya sasa wanaitaka serikali iwajumuishe katika sera maalum za kitaifa kuhusu...
Suala la kukuza miwa bondeni laibua mzozo
Na BARNABAS BII MGOGORO unatokota kati ya Wizara ya Kilimo na wakulima wa mahindi katika kaunti zinazokuza mahindi eneo la Kaskazini mwa...
- by adminleo
- August 8th, 2020
AWINO: Wanasiasa wasitatize ufufuzi wa sekta ya sukari
Na AG AWINO IWAPO umewahi kuishi karibu na kampuni za kusaga miwa nchini, basi unaelewa maana ya ‘moshi mweupe’. Moshi huu huleta...
- by adminleo
- June 11th, 2020
AKILIMALI: Sharubati yake ya miwa ni tiba na yamkidhia mahitaji
Na PETER CHANGTOEK DANIEL Gitari amekuwa akishughulika na ukuzaji wa miwa na usindikaji wa zao hilo ili kutengeneza sharubati ya kipekee...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Wamkata kichwa wakidai aliiba miwa
Na GERALD BWISA Mwanamume wa miaka 75 amekumbana na mauti alipokatwa kichwa na washambuliaji wanaojulikana baada ya kusemekana kuiba...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Rais aahidi kutekeleza mapendekezo ya sukari
Na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ameahidi kuwa serikali itatekeleza mapendekezo ya jopokazi kuhusu sukari kama sehemu ya juhudi zinazoendelea...
- by adminleo
- November 15th, 2019
RIZIKI: Utamu wa kuuza miwa
Na SAMMY WAWERU BARABARA kuu ya Thika Superhighway, inayounganisha ni yenye shughuli chungu nzima kila sekunde na dakika katika usafiri...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Wakulima wa miwa wamtaka Kiunjuri ajiuzulu
Na RUTH MBULA WAKULIMA wa miwa wanamtaka Waziri wa Kilimo, Bw Mwangi Kiunjuri ajiuzulu wakidai ameshindwa kusuluhisha changamoto...
- by adminleo
- October 4th, 2019
Kilio cha wakulima wa miwa
Na IAN BYRON na CHARLES WASONGA WAKULIMA wa miwa wametisha kufanya maandamano makubwa katika makao makuu ya Wizara ya Kilimo jijini...