Tag: ndege
- by adminleo
- March 12th, 2019
Hatuhitaji marubani tena – Trump
Na WAANDISHI WETU RAIS wa Amerika Donald Trump, ametilia shaka uwezo wa marubani kuendesha ndege za kisasa. Akizungumza siku mbili...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Tuliiona ndege ikichomeka ikiwa angani – Mashahidi
VALENTINE OBARA Na MASHIRIKA UCHUNGUZI wa kujua chanzo cha ajali ya ndege iliyotokea Jumapili na kusababisha vifo vya watu 157, wakiwemo...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Mataifa 13 yasitisha safari za Boeing 737 MAX 8
Na VALENTINE OBARA MASHIRIKA ya ndege katika nchi mbalimbali, yamesitisha utumizi wa ndege aina ya Boeing 737 MAX 8, kufuatia ajali...
- by adminleo
- March 12th, 2019
“Nilikasirika sana nilipofungiwa nje ya ndege ya mauti Ethiopia’
Na LEONARD ONYANGO KUCHELEWA kwa dakika mbili pekee kulimfanya raia wa Ugiriki kunusurika kifo katika ajali ya ndege iliyosababisha vifo...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Majonzi, vilio baada ya ajali ya ndege Ethiopia
Na WAANDISHI WETU MAJONZI yalitanda maeneo mbalimbali ya nchi, jamaa na marafiki wakiomboleza wapendwa wao waliofariki kwenye ajali ya...
- by adminleo
- March 11th, 2019
Dakika za mwisho kabla ya mkasa wa ndege ya Ethiopia
ALLAN OLINGO Na PETER MBURU KENYA inaomboleza vikubwa kufuatia ajali ya ndege iliyokuwa ikisafiri kutoka Ethiopia kuelekea Nairobi,...
- by adminleo
- March 11th, 2019
MKASA WA ETHIOPIA: Ruto, Mudavadi na Maraga watuma risala za rambirambi
Na PETER MBURU VIONGOZI mbalimbali Jumatatu waliendelea kutuma jumbe za rambirambi kwa familia za watu walioangamia katika mkasa wa...
- by adminleo
- March 11th, 2019
Abiria atolewa kwa ndege baada ya kuiombea ipate ajali
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME mmoja alitolewa kutoka ndege moja iliyokuwa ikisafiri kwenda Dubai, wakati alipoanza kufanya maombi na...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Usalama wa ndege aina ya Boeing 737 Max 8 watiliwa shaka
Na VALENTINE OBARA HUKU uchunguzi ukianzishwa kuhusu ajali ya ndege iliyokuwa ikitoka Addis Ababa, Ethiopia kuelekea Nairobi Jumapili,...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Wakenya 32 wafariki Ethiopia
BERNADINE MUTANU, WANDERI KAMAU na ANITA CHEPKOECH WAKENYA 32 waliangamia Jumapili asubuhi nchini Ethiopia, wakati ndege waliyokuwa...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Uhuru na Raila waomboleza abiria 157 walioangamia Ethiopia
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta na kinara wa chama cha ODM Raila Odinga wameongoza Wakenya kuwaomboleza waliofariki katika ajali...
- by adminleo
- February 13th, 2019
Ndege iliyoua watu 5 Kericho ilikuwa na hitilafu ya injini – Wataalamu
RICHARD MAOSI NA ERIC MATARA HITILAFU katika injini ya ndege huenda ndicho kiini cha ajali iliyosababisha vifo vya watu watano, wanne...