• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

Hatuhitaji marubani tena – Trump

Na WAANDISHI WETU RAIS  wa Amerika Donald Trump, ametilia shaka uwezo wa marubani kuendesha ndege za kisasa. Akizungumza siku mbili...

Tuliiona ndege ikichomeka ikiwa angani – Mashahidi

VALENTINE OBARA Na MASHIRIKA UCHUNGUZI wa kujua chanzo cha ajali ya ndege iliyotokea Jumapili na kusababisha vifo vya watu 157, wakiwemo...

Mataifa 13 yasitisha safari za Boeing 737 MAX 8

Na VALENTINE OBARA MASHIRIKA ya ndege katika nchi mbalimbali, yamesitisha utumizi wa ndege aina ya Boeing 737 MAX 8, kufuatia ajali...

“Nilikasirika sana nilipofungiwa nje ya ndege ya mauti Ethiopia’

Na LEONARD ONYANGO KUCHELEWA kwa dakika mbili pekee kulimfanya raia wa Ugiriki kunusurika kifo katika ajali ya ndege iliyosababisha vifo...

Majonzi, vilio baada ya ajali ya ndege Ethiopia

Na WAANDISHI WETU MAJONZI yalitanda maeneo mbalimbali ya nchi, jamaa na marafiki wakiomboleza wapendwa wao waliofariki kwenye ajali ya...

Dakika za mwisho kabla ya mkasa wa ndege ya Ethiopia

ALLAN OLINGO Na PETER MBURU KENYA inaomboleza vikubwa kufuatia ajali ya ndege iliyokuwa ikisafiri kutoka Ethiopia kuelekea Nairobi,...

MKASA WA ETHIOPIA: Ruto, Mudavadi na Maraga watuma risala za rambirambi

Na PETER MBURU VIONGOZI mbalimbali Jumatatu waliendelea kutuma jumbe za rambirambi kwa familia za watu walioangamia katika mkasa wa...

Abiria atolewa kwa ndege baada ya kuiombea ipate ajali

MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME mmoja alitolewa kutoka ndege moja iliyokuwa ikisafiri kwenda Dubai, wakati alipoanza kufanya maombi na...

Usalama wa ndege aina ya Boeing 737 Max 8 watiliwa shaka

Na VALENTINE OBARA HUKU uchunguzi ukianzishwa kuhusu ajali ya ndege iliyokuwa ikitoka Addis Ababa, Ethiopia kuelekea Nairobi Jumapili,...

Wakenya 32 wafariki Ethiopia

BERNADINE MUTANU, WANDERI KAMAU na ANITA CHEPKOECH  WAKENYA 32 waliangamia Jumapili asubuhi nchini Ethiopia, wakati ndege waliyokuwa...

Uhuru na Raila waomboleza abiria 157 walioangamia Ethiopia

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta na kinara wa chama cha ODM Raila Odinga wameongoza Wakenya kuwaomboleza waliofariki katika ajali...

Ndege iliyoua watu 5 Kericho ilikuwa na hitilafu ya injini – Wataalamu

 RICHARD MAOSI NA ERIC MATARA HITILAFU katika injini ya ndege huenda ndicho kiini cha ajali iliyosababisha vifo vya watu watano, wanne...