• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 2:19 PM

Raila amtetea Ruto

Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga amewataka wabunge kutupilia mbali mswada unaolenga kuharamisha matumizi ya kaulimbiu...

ODM wahofia Jubilee inakoroga Raila

Na JUSTUS OCHIENG CHAMA cha ODM kimeeleza hofu kwamba barua ambayo seneta wa Murang’a Irungu Kang’ata aliandikia Rais Uhuru Kenyatta...

AFYA: Ruto amsuta Raila

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amemshutumu aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga kwa kudunisha matakwa ya wahudumu wa afya...

Msigome, Raila aambia wahudumu wa afya

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amewataka wahudumu wa afya kuwa na subira huku mazungumzo kuhusu matakwa yao...

Raila, Mudavadi kujipima nguvu Matungu

VALENTINE OBARA na SHABAN MAKOKHA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amepuuzilia mbali wito wa viongozi wa eneo la Magharibi...

Raila aendesha BBI chini ya maji

Na JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, anaendeleza kampeni za kura ya maamuzi kwa mbinu ya kipekee huku...

Uhuru, Raila wanusurika kufika mahakamani

Na RICHARD MUNGUTI RAIS Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM Raila Odinga, sasa hawatahitajika kutoa taarifa katika kesi inayokabili...

Raila kutua Kisii, Nyamira ‘kufuta nyayo za Ruto’

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga anatarajiwa kuzuru kaunti za Kisii na Nyamira kuanzia Jumanne, Septemba 15, 2020, kuuza...

Raila awaweka wazee kando akijiandaa 2022

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, amesajili washauri vijana katika juhudi za kutia nguvu azma yake ya kugombea urais...

Ruto avamia ngome ya Raila

JUSTUS OCHIENG NA WANDERI KAMAU KAMBI ya kisiasa ya Naibu Rais William Ruto imeanza kuvamia eneo la Nyanza kujaribu kushawishi wakazi...

Muungano wa Ruto na Raila ni ndoto – Kositany

Na ONYANGO K'ONYANGO WANDANI wa Naibu wa Rais William Ruto, wamepuuzilia mbali uwezekano wa kufanya muungano wa kisiasa na kiongozi wa...

Raila ateka baraka za wazee Mlimani

Na WAIKWA MAINA WAZEE wa jamii ya Wakikuyu wameapa kumtetea Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga dhidi ya shutuma kutoka kwa baadhi ya...