• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

Ujerumani yazamisha Israel na kuendeleza rekodi ya kutopigwa katika mechi nane mfululizo

Na MASHIRIKA MAFOWADI wa Chelsea, Kai Havertz na Timo Werner walifunga bao kila mmoja na kusaidia Ujerumani kupepeta Israel 2-0 katika...

GUMZO: Wanasema Werner amechoka kusugua benchi ya Chelsea

Na JOHN ASHIHUNDU BERLIN, Ujerumani MSHAMBULIAJI Timo Werner ameonyesha dalili za kutaka kuondoka Chelsea baada ya mambo kumuendelea...

Chelsea wapiga West Ham United na kuingia ndani ya nne-bora katika EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Thomas Tuchel amesema Chelsea “watajiamini” sana dhidi ya Real Madrid kwenye gozi lao lijalo la nusu-fainali ya...

Werner afunga mabao mawili katika mechi yake ya mwisho akiichezea RB Leipzig

Na CHRIS ADUNGO MSHAMBULIAJI Timo Werner alifunga mabao mawili katika mchuano wake wa mwisho wa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga)...

RB Leipzig wazamisha Mainz 05 nayo matokeo duni ya Schalke 04 yakimning’iniza kocha pembamba zaidi

Na CHRIS ADUNGO FOWADI Timo Werner, 24, alifunga mabao yake ya kwanza tangu kurejelewa kwa Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) baada ya...