Tag: uchawi
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Waziri ashtuka kuwekewa ndumba afisini mwake
Na STEPHEN ODUOR TETESI za maafisa wa serikali ya Kaunti ya Tana River kuroga wenzao, zimeibuka baada ya waziri katika kaunti hiyo...
- by adminleo
- February 13th, 2019
Wakazi wachoma nyumba sita za mshukiwa wa uchawi
Na GEORGE ODIWUOR POLISI katika eneo la Ndhiwa, Kaunti ya Homa Bay walikuwa na wakati mgumu kutuliza wanakijiji waliochoma nyumba sita...
- by adminleo
- November 19th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Waganga 20 sasa waililia serikali iwatambue
Na CHARLES LWANGA KUNDI la waganga 20 eneo la Magarini, Kaunti ya Kilifi wameitaka serikali itambue kazi yao ya kutibu wagonjwa ili...
- by adminleo
- October 24th, 2018
Wazee wanaodaiwa kuwa wachawi wazidi kuuawa Kwale
Na FADHILI FREDRICK HOFU imetanda katika Kaunti ya Kwale baada ya visa vya mauaji dhidi ya wazee kwa madai ya kuwa wachawi...
- by adminleo
- October 24th, 2018
Wazazi waonywa dhidi ya kupeleka watahiniwa kwa wachawi
Na SHABAN MAKOKHA MAAFISA wa elimu katika kaunti ndogo ya Mumias wameonya wazazi dhidi ya kuwahusisha wanafunzi wao katika ushirikina...
- by adminleo
- June 19th, 2018
Uchawi wa kutengeneza pombe haramu wafichuliwa
Na KNA MAAFISA wa utawala katika Kaunti Ndogo ya Bondo, Kaunti ya Siaya wamefichua mbinu za kishirikina ambazo watengenezaji pombe...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Tetesi kasisi alitumia ndumba kupora mke
Na CORNELIUS MUTISYA NZAIKONI, MACHAKOS Pasta mmoja wa eneo hili ameingiwa na kibaridi baada ya tetesi kutanda mtaani kuwa alitumia...
- by adminleo
- March 29th, 2018
Jombi atisha kutimua mke kwa kukataa kuamini ushirikina
Na LEAH MAKENA GATUNGA, THARAKA POLO wa hapa alitisha kumfurusha mkewe akimlaumu kwa kuchochea wanawe kutokubali dawa ya mganga ya...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Redio 24 Uganda zafungwa kwa kupeperusha matangazo ya uchawi
Na BENSON MATHEKA TUME ya Mawasiliano ya Uganda (UCC), imeagiza vituo 24 vya redio vifungwe mara moja kwa kupeperusha matangazo...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Nyanya auawa kwa kushukiwa kutumia uchawi kuua watu 4
Na NICHOLAS KOMU NYANYA mwenye umri wa miaka 60 aliuawa na wakazi wa kijiji cha Kibingoti, Kaunti ya Kirinyaga kwa kushukiwa kutumia...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Ajuta kukopa Sh700,000 kutoka kwa benki kulipa mganga
Na WAANDIDHI WETU MWANAMUME aliyechukua mkopo kumlipa mganga amsaidie kumrudisha mkewe aliyetoroka, sasa anataka mganga huyo ashtakiwe...
- by adminleo
- March 21st, 2018
Uchawi wazidi kanisani huku waumini wakiamini nguvu za giza kuliko Mola
Na MWANGI MUIRURI WAUMINI wengi makanisani wanashiriki uchawi kuliko wanavyozingatia mafunzo ya kidini, Muungano wa Makanisa ya...