Tag: ugaidi
Atupwa ndani kwa kujigamba kuwa gaidi sugu
Na TITUS OMINDE MWANAMUME aliyejigamba kuwa gaidi na kukiri mashtaka mawili ya kujifanya afisa wa polisi na kughushi cheti cha tabia...
- by adminleo
- February 3rd, 2020
Aliyekamatwa kwa dai la kuzua hofu ya ugaidi apewa dhamana
JOSEPH WANGUI na MARY WAMBUI ALIYEKUWA meneja wa jengo la Doctors Park, Nairobi, ambalo wiki jana lilifanyiwa upekuzi wa kina na...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Washukiwa 43 wa ugaidi kukaa kizuizini siku 2
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA 43 wa ugaidi waliokamatwa siku mbili zilizopita watazuiliwa katika makao makuu ya Polisi wa Kupambana na...
- by adminleo
- January 20th, 2020
Washukiwa 5 wa ugaidi wanaswa wakila njama
LEONARD ONYANGO na KALUME KAZUNGU WASHUKIWA watano wa ugaidi walikamatwa wikendi wakidaiwa kuchunguza eneo la burudani jijini Nairobi...
- by adminleo
- December 15th, 2019
Ugaidi: Familia yalia polisi imwache huru mwanao
Na FADHILI FREDRICK Familia moja katika Kwale inawataka maafisa wa polisi kumweka huru kijana wao mwenye umri wa miaka 20 ambaye...
- by adminleo
- December 5th, 2019
Sh500 milioni kwa atakayefichua aliko Jehad Serwan Mostafa
Na MARY WAMBUI Idara ya upelelezi ya Amerika (FBI), imetoa zawadi ya Sh500 milioni kwa yeyote atakayetoa habari zitakazofanikisha...
- by adminleo
- December 4th, 2019
Kizimbani kwa kupanga njama ya kushambulia makanisa
Na RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA wa ugaidi mwenye umri wa miaka 19 anayedaiwa alikuwa amepanga njama za kushambulia makanisa matatu moja ya...
- by adminleo
- October 30th, 2019
Mshukiwa wa ugaidi akanusha madai mahakamani
Na BRIAN OCHARO, MISHI GONGO na JOSEPH NDUNDA MSHUKIWA wa ugaidi anayedaiwa kuwa na mizizi yake Syria, Somalia na nchi zingine tatu,...
- by adminleo
- October 7th, 2019
Muturi, balozi McCater watofautiana kuhusu kujitolea kwa Amerika kuukabili ugaidi
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi na Balozi wa Amerika nchini Kyle McCater wametofautiana kuhusu suala la...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Polisi wahudumia mshukiwa wa ugaidi baada ya kumpiga risasi
Na WACHIRA MWANGI WAKAZI wa mtaa wa Tudor Mwisho, Kaunti ya Mombasa jana walistaajabishwa na jinsi polisi walivyoepuka kumuua mshukiwa...
- by adminleo
- July 10th, 2019
Mbinu za kukabiliana na ugaidi kufunzwa shuleni nchini Kenya
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa serikali itaanzisha mpango wa kutoa mafunzo kuhusu mbinu za kuzuia ugaidi katika...
- by adminleo
- June 11th, 2019
Ashtakiwa kujiunga na Al-Shabaab, ISIS na ISIL
Na RICHARD MUNGUTI MWANAFUNZI katika mojawapo ya vyuo vya teknolojia nchini alishtakiwa Jumanne kwa kuwa mwanachama wa makundi matatu ya...