• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:50 AM
AMINI USIAMINI: Wapo wadudu wanaotumia kinyesi cha ndovu, nyati kutengeneza mipira

AMINI USIAMINI: Wapo wadudu wanaotumia kinyesi cha ndovu, nyati kutengeneza mipira

NA MWORIA MUCHINA

WADUDU waitwao ‘dung beetle’ au Scarabaeus satyrus kwa jina la Kisayansi, hutengeneza mipira wakitumia kinyesi cha ndovu, nyati na wanyama wengine wa porini wala nyasi.

Baadaye, wadudu hawa husukuma mipira hii wakitumia miguu yao ya nyuma hadi kwenye shimo walilochimba na hutaga mayai kwenye kinyesi hicho na kufunika mchangani. Inasemekana wadudu hao ambao hutokea nyakati za usiku, hutumia nyota na sayari za anga za juu kuwaongoza.

  • Tags

You can share this post!

Wamiliki wa baa Murang’a watumia mbinu za kimafia

Wito makundi ya CSOs yaungane na Azimio kwa mkutano wa Saba...

T L