UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI: Fasili ya lugha kama nyenzo ya kimsingi ya mawasiliano
Na MARY WANGARI KATIKA makala hii, tutaendeleza uchambuzi wa lugha kama kiungo cha kimsingi katika mawasiliano ya binadamu. Lugha ni mfumo wa ishara – Hii inaashiriwa na jinsi maneno katika lugha huhusishwa au kuambatanishwa na hisia, mawazo, vitu, matendo yanayooana kwa njia ya unasibu. Maandishi kwa mfano ni mkusanyiko wa ishara ambao maana yake inaweza […]