FASIHI SIMULIZI: Fasili, sifa, dhima na aina za ngomezi
Ngomezi ni nini? (alama 2) Ni sanaa/fasihi inayotumia ala za kimuziki kuwasilisha ujumbe kwa hadhira au jamii. Fafanua sifa zozote tano za ngomezi (alama 5) Hutumia midundo mbalimbali ya ngoma/ala za muziki. Huhitaji mtaalam wa ngoma. Maana ya midundo mbalimbali hubadilika kutoka kwa jamii moja hadi nyingine. Ni vigumu kwa mgeni au jamii hasimu kutambua […]