NA CHARLES WASONGA HUKU taifa likizongwa na athari za mafuriko na mgomo wa madaktari, Rais William Ruto Alhamisi aliondoa nchini kwa ziara...
NA OSCAR KAKAI TAHARUKI imetanda kwenye mpaka wa kaunti za Pokot Magharibi na Elgeyo Marakwet baada ya majangili kuvamia kijiji cha...
NA GEORGE ODIWUOR WASIWASI mwingi unazikumba familia zilizohama makwao kutokana na mafuriko na ambazo kwa sasa zinakita kambi katika shule...
GEORGE ODIWUOR Na CHARLES WASONGA WALIMU katika kaunti ndogo ya Ndhiwa, Kaunti ya Homa Bay wamejiunga katika mpango wa kutoa uhamasisho...
NA CHARLES WASONGA JAMBO la kushangaza limetokea katika familia ya marehemu Mhandisi Kata Matemu Kithyo aliyefariki Aprili 18, 2024 mjini...
NA CHARLES WASONGA SHIRIKA la Reli Nchini (KRC) limesitisha huduma za uchukuzi wa umma jijini Nairobi kufuatia mvua kubwa ambayo...
NA SIAGO CECE WAKAZI wa Kwale waliohamishwa ili kutoa nafasi kwa uchimbaji madini, wameitaka serikali kuharakisha kuweka mfumo...
NA RICHARD MUNGUTI KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini (Kenya Power au KPLC) imeagizwa na Mahakama Kuu ifidie kampuni ya Woolworths,...
BARNABAS BII Na KNA BODI ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) imeanza kuwafidia wakulima waliouziwa mbolea feki. Mkurugenzi Mkuu wa NCPB,...
NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Mombasa imeagiza kuwa, washukiwa katika kesi ya vifo vya Shakahola wapewe arafa za ushahidi utakaotumiwa...
NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wamenasa bangi ya thamani ya Sh37 milioni na kufanikiwa kumkamata mshukiwa mmoja. Mshukiwa huyo...
NA EVANS JAOLA GAVANA wa Trans Nzoia George Natembeya ametishia kuwafuta kazi madaktari wa kaunti hiyo wanaogoma na kuajiri wapya kutoka...