• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 6:50 AM

Ruto ziarani TZ, Zimbabwe nyuma akiacha mafuriko, mgomo wa madaktari

NA CHARLES WASONGA HUKU taifa likizongwa na athari za mafuriko na mgomo wa madaktari, Rais William Ruto Alhamisi aliondoa nchini kwa ziara...

Majangili waua msichana na kuiba mifugo Kamologon

NA OSCAR KAKAI TAHARUKI imetanda kwenye mpaka wa kaunti za Pokot Magharibi na Elgeyo Marakwet baada ya majangili kuvamia kijiji cha...

Mafuriko: Waliotafuta hifadhi shuleni waingiwa na wasiwasi

NA GEORGE ODIWUOR WASIWASI mwingi unazikumba familia zilizohama makwao kutokana na mafuriko na ambazo kwa sasa zinakita kambi katika shule...

Walimu watoa ushauri kwa wasichana wanaonyanyaswa kingono

GEORGE ODIWUOR Na CHARLES WASONGA WALIMU katika kaunti ndogo ya Ndhiwa, Kaunti ya Homa Bay wamejiunga katika mpango wa kutoa uhamasisho...

Ni njia tofauti za upendo au mgawanyiko?

NA CHARLES WASONGA JAMBO la kushangaza limetokea katika familia ya marehemu Mhandisi Kata Matemu Kithyo aliyefariki Aprili 18, 2024 mjini...

Treni za abiria zasitisha uchukuzi jijini kufuatia mvua kubwa

NA CHARLES WASONGA SHIRIKA la Reli Nchini (KRC) limesitisha huduma za uchukuzi wa umma jijini Nairobi kufuatia mvua kubwa ambayo...

Wakazi wadai mrabaha kabla Base Titanium ifunganye virago

NA SIAGO CECE WAKAZI wa Kwale waliohamishwa ili kutoa nafasi kwa uchimbaji madini, wameitaka serikali kuharakisha kuweka mfumo...

Kenya Power kulipa Woolworths Sh500m kufidia hasara ya moto Nakumatt

NA RICHARD MUNGUTI KAMPUNI ya kusambaza umeme nchini (Kenya Power au KPLC) imeagizwa na Mahakama Kuu ifidie kampuni ya Woolworths,...

Waliouziwa mbolea feki waanza kulipwa fidia

BARNABAS BII Na KNA BODI ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB) imeanza kuwafidia wakulima waliouziwa mbolea feki. Mkurugenzi Mkuu wa NCPB,...

Shakahola: Korti yaagiza washukiwa wapewe taarifa za ushahidi

NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Mombasa imeagiza kuwa, washukiwa katika kesi ya vifo vya Shakahola wapewe arafa za ushahidi utakaotumiwa...

Polisi Kisii wanasa bangi ndani ya magari manne

NA WYCLIFFE NYABERI POLISI mjini Kisii wamenasa bangi ya thamani ya Sh37 milioni na kufanikiwa kumkamata mshukiwa mmoja. Mshukiwa huyo...

Natembeya atisha kufuta madaktari na kuajiri wapya kutoka Uganda

NA EVANS JAOLA GAVANA wa Trans Nzoia George Natembeya ametishia kuwafuta kazi madaktari wa kaunti hiyo wanaogoma na kuajiri wapya kutoka...