• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Kingi asema ameanza harakati ya kujiondoa katika Azimio

NA WINNIE ATIENO CHAMA cha Pamoja African Alliance, kinachohusishwa na Gavana wa Kilifi, Amason Kingi, kinapania kujiondoa kwenye...

Kalonzo motoni kusukuma Sonko

NA WINNIE ATIENO KIONGOZI WA chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, anazidi kulaumiwa na wanasiasa Mombasa kwa kumruhusu aliyekuwa gavana...

Ashuu ashusha pumzi kwa muda

NA BRIAN OCHARO JOPOKAZI la kutatua mizozo ya vyama vya kisiasa limesimamisha kwa muda uamuzi wa chama cha ODM kumteua Bi Zamzam Mohamed...

Ni vigumu kumwomboleza mwanasiasa Kibaki bila tamko la kisiasa – Raila

NA SAMMY WAWERU KAULI za kisiasa zilipigwa marufuku katika ibada ya kumuaga Rais mstaafu Mwai Kibaki, iliyofanyika katika uwanja wa...

Mlalamishi aondoa kesi ya kupinga azma ya Sonko

NA PHILIP MUYANGA MMOJA wa walalamishi wawili waliotaka aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, azuiwe kuwania ugavana Mombasa,...

Tim Wanyonyi hatimaye atangaza kuunga mkono Igathe kwa kiti cha ugavana Nairobi

NA CHARLES WASONGA HATIMAYE Mbunge wa Westlands Tim Wanyonyi ametangaza hadharani kuwa atamuunga mkono Polycarp Igathe ambaye wiki jana...

Kikao cha Kibaki chageuzwa uwanja wa Azimio na Kenya Kwanza kututumua misuli

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wa mirengo ya Azimio la Umoja na Kenya Kwanza walionyesha mfano mbaya kwa kugeuza kikao maalum cha...

Presha kwa Ruto na Raila kuhusu wagombea wenza

ONYANGO K’ONYANGO na LEONARD ONYANGO WAWANIAJI wa urais wamejipata katika njiapanda baada ya kutekwa nyara na baadhi ya jamii...

Uhuru kuamua atakayegombea ugavana wa Jubilee Nyandarua

NA DAVID MWERE RAIS Uhuru Kenyatta ndiye ataamua yule ambaye atapewa tiketi ya Jubilee kuwania ugavana wa Nyandarua. Wakati huu,...

Ruto, Raila watumia jina la Kibaki kujiuza

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM Raila Odinga wanatumia jina la rais wa tatu wa Kenya, Mwai Kibaki...

Orengo awashauri wanasiasa kuingia katika miungano kwa hiari na wadumishe utulivu

NA CHARLES WASONGA SENETA wa Siaya James Orengo amewaonya wanasiasa na akawataka kukoma kujilazimisha katika kubuni miungano ya kisiasa...

Nassir adai Kalonzo ana nia fiche dhidi ya Odinga

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita Abdulswamad Nassir amedai kuwa kinara Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, alimshurutisha aliyekuwa gavana wa...