NA KENYA NEWS AGENCY
DIWANI wa Kabazi, kaunti ya Nakuru, Dkt Peter Mbae, ametoa wito kwa wataalumu kuwapa ushauri nasaha wafungwa kabla ya kuwachiliwa ili kuepuka uhalifu zaidi.
Haya yanajiri siku chache baada ya mfungwa aliyeachiliwa huru kwa msamaha wa Rais kuwindwa na maafisa wa polisi akidaiwa kumuua mamake mzazi kwa kumkatakata.