• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 5:50 AM
Wito wafungwa washauriwe kabla kuachiliwa

Wito wafungwa washauriwe kabla kuachiliwa

NA KENYA NEWS AGENCY

DIWANI wa Kabazi, kaunti ya Nakuru, Dkt Peter Mbae, ametoa wito kwa wataalumu kuwapa ushauri nasaha wafungwa kabla ya kuwachiliwa ili kuepuka uhalifu zaidi.

Haya yanajiri siku chache baada ya mfungwa aliyeachiliwa huru kwa msamaha wa Rais kuwindwa na maafisa wa polisi akidaiwa kumuua mamake mzazi kwa kumkatakata.

  • Tags

You can share this post!

Mwilu akemea ongezeko la ubakaji watoto

TAHARIRI: Serikali iwakabili wanaoharibu sifa ya vyeti vya...

T L