Tag: chapa dimba
- by adminleo
- February 20th, 2020
Michuano ya Chapa Dimba wikendi
Na JOHN KIMWERE Mashindano ya Chapa Dimba na Safaricom Season Three wikendi hii yatashuhudia fainali za Mkoa wa Nairobi, ambazo...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Vikosi 8 kushiriki fainali za Chapa Dimba wikendi
Na CECIL ODONGO TIMU nane zinatarajiwa kupigania ubabe kwenye mchezo wa soka wikendi hii ili kutwaa taji la ubingwa wa mashindano ya...
- by adminleo
- February 13th, 2020
Tumaini, Isiolo Starlets mibabe wa Chapa Dimba Mashariki
Na JOHN KIMWERE TUMAINI School FC na Isiolo Starlets zimetangazwa mafahali na malkia wa Chapa Dimba na Safaricon Season Three, katika...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Tumaini, Isiolo Starlets zavuna Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE WAVULANA wa Tumaini FC na wasichana wa Isiolo Starlets walivuna ushindi mnono kwenye nusu fainali za Mkoa wa Mashariki...
- by adminleo
- February 7th, 2020
Eastern kumpata bingwa wa Chapa Dimba wikendi hii
JEFF KINYANJUI na JOHN ASHIHUNDU MICHUANO ya mzunguko ya kuwania ubingwa wa Chapa Dimba na Safaricom nchini, wikendi hii itafanyika...
- by adminleo
- January 20th, 2020
Ulinzi Youth na Falling Waters majogoo wa Mlima Kenya
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Ulinzi Youth na Falling Waters zilitawazwa mafahali na malkia wa Chapa Dimba na Safaricom Season Three katika...
- by adminleo
- December 6th, 2019
Chapa Dimba yasaidia kijana kutimiza ndoto
Na JEFF KINYANJUI na GEOFFREY ANENE KIJANA Abdalla Maro wa klabu ya Berlin FC ya Garissa aliibuka mfungaji bora wa mabao katika kabumbu...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Chapa Dimba ilivyomfungulia David Majak milango ya heri
Na JOHN KIMWERE DAVID Majak, 20, ambaye ni matunda ya michezo ya Chapa Dimba na Safaricom Season One ameibuka chipukizi wa hivi karibuni...
- by adminleo
- August 25th, 2019
Chapa Dimba Season 3 yatazamiwa kuzua msisimko mkali
Na JOHN KIMWERE MICHUANO ya kuwania ubingwa wa Chapa Dimba na Safaricom Season Three imepangwa kuanza mwezi ujao kote nchini. Kipute cha...
- by adminleo
- August 19th, 2019
Chapa Dimba Season Three kuanza Septemba
Na JOHN KIMWERE KAMPUNI ya simu za rununu ya Safaricom, imetangaza kwamba itaendelea kushirikiana na Ligi ya LaLiga ya Hispania na...
- by adminleo
- June 25th, 2019
Manyatta na Kitale Queens washindi wa Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE KWA mara nyingine wawakilishi wa Mkoa wa Nairobi walishindwa maarifa na wapinzani wao katika fainali za kitaifa za...
- by adminleo
- June 25th, 2019
Manyatta United, Kitale Queens zabeba Chapa Dimba
Na JOHN KIMWERE KWA mara nyingine wawakilishi wa Nairobi walishindwa maarifa na wapinzani wao katika fainali za kitaifa za ubingwa wa...