• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:50 AM

Michuano ya Chapa Dimba wikendi

Na JOHN KIMWERE Mashindano ya Chapa Dimba na Safaricom Season Three wikendi hii yatashuhudia fainali za Mkoa wa Nairobi, ambazo...

Vikosi 8 kushiriki fainali za Chapa Dimba wikendi

Na CECIL ODONGO TIMU nane zinatarajiwa kupigania ubabe kwenye mchezo wa soka wikendi hii ili kutwaa taji la ubingwa wa mashindano ya...

Tumaini, Isiolo Starlets mibabe wa Chapa Dimba Mashariki

Na JOHN KIMWERE TUMAINI School FC na Isiolo Starlets zimetangazwa mafahali na malkia wa Chapa Dimba na Safaricon Season Three, katika...

Tumaini, Isiolo Starlets zavuna Chapa Dimba

Na JOHN KIMWERE WAVULANA wa Tumaini FC na wasichana wa Isiolo Starlets walivuna ushindi mnono kwenye nusu fainali za Mkoa wa Mashariki...

Eastern kumpata bingwa wa Chapa Dimba wikendi hii

JEFF KINYANJUI na JOHN ASHIHUNDU MICHUANO ya mzunguko ya kuwania ubingwa wa Chapa Dimba na Safaricom nchini, wikendi hii itafanyika...

Ulinzi Youth na Falling Waters majogoo wa Mlima Kenya

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Ulinzi Youth na Falling Waters zilitawazwa mafahali na malkia wa Chapa Dimba na Safaricom Season Three katika...

Chapa Dimba yasaidia kijana kutimiza ndoto

Na JEFF KINYANJUI na GEOFFREY ANENE KIJANA Abdalla Maro wa klabu ya Berlin FC ya Garissa aliibuka mfungaji bora wa mabao katika kabumbu...

Chapa Dimba ilivyomfungulia David Majak milango ya heri

Na JOHN KIMWERE DAVID Majak, 20, ambaye ni matunda ya michezo ya Chapa Dimba na Safaricom Season One ameibuka chipukizi wa hivi karibuni...

Chapa Dimba Season 3 yatazamiwa kuzua msisimko mkali

Na JOHN KIMWERE MICHUANO ya kuwania ubingwa wa Chapa Dimba na Safaricom Season Three imepangwa kuanza mwezi ujao kote nchini. Kipute cha...

Chapa Dimba Season Three kuanza Septemba

Na JOHN KIMWERE KAMPUNI ya simu za rununu ya Safaricom, imetangaza kwamba itaendelea kushirikiana na Ligi ya LaLiga ya Hispania na...

Manyatta na Kitale Queens washindi wa Chapa Dimba

Na JOHN KIMWERE KWA mara nyingine wawakilishi wa Mkoa wa Nairobi walishindwa maarifa na wapinzani wao katika fainali za kitaifa za...

Manyatta United, Kitale Queens zabeba Chapa Dimba

Na JOHN KIMWERE KWA mara nyingine wawakilishi wa Nairobi walishindwa maarifa na wapinzani wao katika fainali za kitaifa za ubingwa wa...