• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:50 AM

Tunisia na Denmark waumiza bure nyasi za uwanja wa Education City katika mchuano wa Kundi D

Na MASHIRIKA DENMARK na Tunisia walitoshana nguvu katika mechi ya Kundi D iliyowakutanisha uwanjani Education City, Al Rayyan. Licha...

SHINA LA UHAI: Kukabili athari za tabianchi: Denmark mfano mzuri kwa Kenya

Na PAULINE ONGAJI HUKU ulimwengu ukiendelea kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, Denmark, taifa la idadi ya watu milioni...

Denmark wabandua Jamhuri ya Czech kwenye robo-fainali za Euro kwa kichapo cha 2-1

Na MASHIRIKA SAFARI ya Jamhuri ya Czech kufuzu kwa nusu-fainali za Euro mwaka huu ilikatizwa ghafla na Denmark waliowapokeza kichapo cha...

Kiungo Christian Eriksen wa Denmark arejea nyumbani baada ya kuondoka hospitalini

Na MASHIRIKA KIUNGO matata wa Inter Milan na timu ya taifa ya Denmark, Christian Eriksen, ameruhusiwa kuondoka hospitalini baada ya...

KOMBE LA DUNIA: Eriksen aondoka kambini kusherehekea mtoto wa kwanza

Na GEOFFREY ANENE CHRISTIAN Eriksen amekimbia nyumbani nchini Denmark kujiandaa kusherehekea kupata mtoto wake wa kwanza. Vyombo vya...