• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:50 AM

KINAYA: ‘Baba’ hajawaambia Wakamba vizuri ila jinsia zote zina matapeli

Na DOUGLAS MUTUA ‘WEWE una umama sana! Ondoa umama hapa! Una tabia za kike! Unatembeaje kama mwanamke? Mbona umekuwa mdaku kama...

KINAYA: Wanaojigamba kuhusu Kibra wataambia nini watu Alhamisi?

Na DOUGLAS MUTUA ALHAMISI ijayo nitacheka nusura niteguke mbavu! Naam, nitaangua kicheko kikuu kuwacheka makabwela na mabwana...

KINAYA: ‘Baba’ bado ni jogoo wa siasa licha ya ‘kusaliti’ NASA kupitia handisheki

Na DOUGLAS MUTUA ACHENI ‘Baba’ aitwe ‘Baba’! Ala! Kivipi tena? Sikiza, tena unisikize vizuri. ‘Baba’ ni mwanasiasa mzito...

KINAYA: Ni njama tu ya kamati ya roho chafu kutaka kunyima Mwende kazi!

Na DOUGLAS MUTUA JE, umeyasikia haya? Yepi tena? Kwamba ile kamati ya roho chafu isiyopenda kuona watu wakiendelea imekutana na...

KINAYA: Huenda wakati umefika wa ‘Baba’ kusalitiwa na ‘Ouru’

Na DOUGLAS MUTUA ALA! Usiniambie ‘Baba’ amebebwa na maji ya mabwawa ya Kimwarer na Arror! Vipi nawe ilhali mabwawa yenyewe...

KINAYA: Asiyejisajili kupiga kura asiitamani yangu, huyu Mariga ametuzoea!

Na DOUGLAS MUTUA NAAM, vile tu Kethi Kilonzo alivyotuzoea kabla ya kufukuziwa mbali na Tume Huru ya uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa...

KINAYA: Mariga hana deni lako, huwezi kumlazimisha kufanya hisani

Na DOUGLAS MUTUA HIVI wewe kabwela mzee una nini? Mbona unamchukia mtoto ilhali unaitwa baba? Watoto wako wakichukiwa...

KINAYA: Wanaokopa bila kutujulisha hawafai kutushurutisha kulipa bila sababu

Na DOUGLAS MUTUA NATAKA nikuudhi kidogo. Naam, kwa sababu mwenyewe umeniudhi. Maudhi yako yanaleta heshima ndogo, hufai kuwafanyia watu...

KINAYA: ‘Ouru’ ni sungura mjanja, huenda ateme ‘baba’ baada ya kumtumia

Na DOUGLAS MUTUA NIMEKWAMBIA kwa muda lakini umekataa kuniamini. Utaniamini hili likitokea. Naamini hatimaye ‘Ithe wa Jaba’...

KINAYA: Kumbe Waamerika walitaka ‘mtu’ wa kuwapigia wengine makalioni!

Na DOUGLAS MUTUA WATU wana utani kweli! Rafiki yangu wa miaka mingi kwa jina Mutinda Munyao, ambaye ni mhariri wa magazeti yetu ya...

KINAYA: Vipawa vya siasa vimezidi nchini, sijui mbegu zake zihifadhiwe wapi

Na DOUGLAS MUTUA UNATAKA kuniambia Kenya tunazalisha vipawa vingi kuliko tunavyohitaji? Vipi tena? Hebu angalia kwenye ulingo wa siasa...

KINAYA: Punguza Mizigo, Kujenga Daraja hazina tofauti, wembe ni ule ule

Na DOUGLAS MUTUA KAA kando ujionee ukichezwa shere sasa! Hapa wa kutapeliwa ni wewe, si hao unaoita waheshimiwa ila unawachukia hadi...