Tag: kinaya
- by adminleo
- November 10th, 2019
KINAYA: ‘Baba’ hajawaambia Wakamba vizuri ila jinsia zote zina matapeli
Na DOUGLAS MUTUA ‘WEWE una umama sana! Ondoa umama hapa! Una tabia za kike! Unatembeaje kama mwanamke? Mbona umekuwa mdaku kama...
- by adminleo
- November 3rd, 2019
KINAYA: Wanaojigamba kuhusu Kibra wataambia nini watu Alhamisi?
Na DOUGLAS MUTUA ALHAMISI ijayo nitacheka nusura niteguke mbavu! Naam, nitaangua kicheko kikuu kuwacheka makabwela na mabwana...
- by adminleo
- October 6th, 2019
KINAYA: ‘Baba’ bado ni jogoo wa siasa licha ya ‘kusaliti’ NASA kupitia handisheki
Na DOUGLAS MUTUA ACHENI ‘Baba’ aitwe ‘Baba’! Ala! Kivipi tena? Sikiza, tena unisikize vizuri. ‘Baba’ ni mwanasiasa mzito...
- by adminleo
- September 29th, 2019
KINAYA: Ni njama tu ya kamati ya roho chafu kutaka kunyima Mwende kazi!
Na DOUGLAS MUTUA JE, umeyasikia haya? Yepi tena? Kwamba ile kamati ya roho chafu isiyopenda kuona watu wakiendelea imekutana na...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
KINAYA: Huenda wakati umefika wa ‘Baba’ kusalitiwa na ‘Ouru’
Na DOUGLAS MUTUA ALA! Usiniambie ‘Baba’ amebebwa na maji ya mabwawa ya Kimwarer na Arror! Vipi nawe ilhali mabwawa yenyewe...
- by adminleo
- September 14th, 2019
KINAYA: Asiyejisajili kupiga kura asiitamani yangu, huyu Mariga ametuzoea!
Na DOUGLAS MUTUA NAAM, vile tu Kethi Kilonzo alivyotuzoea kabla ya kufukuziwa mbali na Tume Huru ya uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa...
- by adminleo
- September 8th, 2019
KINAYA: Mariga hana deni lako, huwezi kumlazimisha kufanya hisani
Na DOUGLAS MUTUA HIVI wewe kabwela mzee una nini? Mbona unamchukia mtoto ilhali unaitwa baba? Watoto wako wakichukiwa...
- by adminleo
- September 1st, 2019
KINAYA: Wanaokopa bila kutujulisha hawafai kutushurutisha kulipa bila sababu
Na DOUGLAS MUTUA NATAKA nikuudhi kidogo. Naam, kwa sababu mwenyewe umeniudhi. Maudhi yako yanaleta heshima ndogo, hufai kuwafanyia watu...
- by adminleo
- August 25th, 2019
KINAYA: ‘Ouru’ ni sungura mjanja, huenda ateme ‘baba’ baada ya kumtumia
Na DOUGLAS MUTUA NIMEKWAMBIA kwa muda lakini umekataa kuniamini. Utaniamini hili likitokea. Naamini hatimaye ‘Ithe wa Jaba’...
- by adminleo
- August 18th, 2019
KINAYA: Kumbe Waamerika walitaka ‘mtu’ wa kuwapigia wengine makalioni!
Na DOUGLAS MUTUA WATU wana utani kweli! Rafiki yangu wa miaka mingi kwa jina Mutinda Munyao, ambaye ni mhariri wa magazeti yetu ya...
- by adminleo
- August 4th, 2019
KINAYA: Vipawa vya siasa vimezidi nchini, sijui mbegu zake zihifadhiwe wapi
Na DOUGLAS MUTUA UNATAKA kuniambia Kenya tunazalisha vipawa vingi kuliko tunavyohitaji? Vipi tena? Hebu angalia kwenye ulingo wa siasa...
- by adminleo
- July 28th, 2019
KINAYA: Punguza Mizigo, Kujenga Daraja hazina tofauti, wembe ni ule ule
Na DOUGLAS MUTUA KAA kando ujionee ukichezwa shere sasa! Hapa wa kutapeliwa ni wewe, si hao unaoita waheshimiwa ila unawachukia hadi...