• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 7:05 PM

KINAYA: Ng’ombe sasa watapata vyeti vya kuzaliwa kabla ya Wakenya wengi!

Na DOUGLAS MUTUA WEWE kaa hapo ukidai hujui ulizaliwa tarehe ngapi; kuna ng’ombe wanaojua siku zao za kuzaliwa! Endelea kuduwaa...

KINAYA: Wabunge wajilipe vinono, nasi pia watulipe kabla ya kutwaa kura zetu

Na DOUGLAS MUTUA DUNIANI kuna watu wacheshi! Juzi nusra mtani wangu wa kisiasa anitegue mbavu kwa falsafa ya kuaibisha na kushangaza...

KINAYA: Dkt Samoei anawahitaji marafiki sampuli hii katika safari ya 2022

Na DOUGLAS MUTUA 'SITAKI msaada wako. Hunitakii mazuri!’ Nadhani hayo ndiyo maneno yaliyotoka kinywani mwa Daktari Samoei hivi...

KINAYA: Sitaki kumeza mate, ninataka kula nyama tuliyosaidiana kunasa 2013

Na DOUGLAS MUTUA NIMEONA chui! Nimemsikia Tuju! Nimemsikia Nyanja pia! Hizo ni sauti zao kabisa. Wapi? Subiri kidogo,...

KINAYA: Wadau wa Mlimani hawatoshei katika mfuko wa yeyote yule

Na DOUGLAS MUTUA HII ni Kenya ya mwaka wa 2019, si ile ya 1969! Hivyo? Unapotishia kuwasaga watu kwa sababu wamekupa changamoto...

KINAYA: Eti wazee Mlimani wamtukana Ruto kumfurahisha ‘Kamwana’!

Na DOUGLAS MUTUA JE, Kenya kuna ‘mama-mboga’ au mwanamke mzee? Na mchoma-mahindi mzee? Na, je, yule bwana aliyepewa msimbo wa...

KINAYA: Matajiri watumie noti za Sh1,000 kujitakasa kwa kusaidia maskini

Na DOUGLAS MUTUA HEBU tutakase pesa jamani! Kivipi? Si huo ni uvunjaji sheria? Na tukishikwa? Tukienda jela wake na watoto wetu...

KINAYA: Uzalendo wa bendera umeongeza wananchi sufuria ngapi za ugali?

Na DOUGLAS MUTUA HIVI nikuulize, unawezaje kutetea tambara liitwalo bendera ilhali huna hata kitambaa cha kufutia kamasi? Na majasho...

KINAYA: Raila, Ruto kutongozana kuna ukweli fulani haijalishi aliyeanza mwingine

NA DOUGLAS MUTUA VUNJA mtu shingo! Nani? RAO… subiri kidogo. Daktari wa Sugoi! Naam, wote wawili. Wana nini? Nawahimiza wavunjane...

KINAYA: Wafuasi wa Samoei watatambua Murathe ni nani, watajua hawajui!

NA DOUGLAS MUTUA MAMBO vipi mtu wangu? Krismasi umekula vizuri? Mwaka nao unakuishiaje? Wangu ni vilevile tu, yaani kisiasa, kwa maana...

KINAYA: Raia wa kawaida ni kama wakimbizi nchini mwao, wanasiasa hawawajali!

NA DOUGLAS MUTUA MWANA wa Jomo hana matiti ya kumnyonyesha mtu! Ana nini? Chupa nne za maziwa, yaani kama anayonyosheshwa mtoto mchanga...

OBARA: Kinaya cha mwaka vijana kumrai Raila awakomboe

Na VALENTINE OBARA HAYAWI hayawi hatimaye huwa. Licha ya kilio kutoka kwa wananchi wengi hasa wenye mapato ya chini, mswada wa fedha...