Tag: kinaya
- by adminleo
- July 20th, 2019
KINAYA: Ng’ombe sasa watapata vyeti vya kuzaliwa kabla ya Wakenya wengi!
Na DOUGLAS MUTUA WEWE kaa hapo ukidai hujui ulizaliwa tarehe ngapi; kuna ng’ombe wanaojua siku zao za kuzaliwa! Endelea kuduwaa...
- by adminleo
- July 13th, 2019
KINAYA: Wabunge wajilipe vinono, nasi pia watulipe kabla ya kutwaa kura zetu
Na DOUGLAS MUTUA DUNIANI kuna watu wacheshi! Juzi nusra mtani wangu wa kisiasa anitegue mbavu kwa falsafa ya kuaibisha na kushangaza...
- by adminleo
- July 7th, 2019
KINAYA: Dkt Samoei anawahitaji marafiki sampuli hii katika safari ya 2022
Na DOUGLAS MUTUA 'SITAKI msaada wako. Hunitakii mazuri!’ Nadhani hayo ndiyo maneno yaliyotoka kinywani mwa Daktari Samoei hivi...
- by adminleo
- June 29th, 2019
KINAYA: Sitaki kumeza mate, ninataka kula nyama tuliyosaidiana kunasa 2013
Na DOUGLAS MUTUA NIMEONA chui! Nimemsikia Tuju! Nimemsikia Nyanja pia! Hizo ni sauti zao kabisa. Wapi? Subiri kidogo,...
- by adminleo
- June 22nd, 2019
KINAYA: Wadau wa Mlimani hawatoshei katika mfuko wa yeyote yule
Na DOUGLAS MUTUA HII ni Kenya ya mwaka wa 2019, si ile ya 1969! Hivyo? Unapotishia kuwasaga watu kwa sababu wamekupa changamoto...
- by adminleo
- June 15th, 2019
KINAYA: Eti wazee Mlimani wamtukana Ruto kumfurahisha ‘Kamwana’!
Na DOUGLAS MUTUA JE, Kenya kuna ‘mama-mboga’ au mwanamke mzee? Na mchoma-mahindi mzee? Na, je, yule bwana aliyepewa msimbo wa...
- by adminleo
- June 8th, 2019
KINAYA: Matajiri watumie noti za Sh1,000 kujitakasa kwa kusaidia maskini
Na DOUGLAS MUTUA HEBU tutakase pesa jamani! Kivipi? Si huo ni uvunjaji sheria? Na tukishikwa? Tukienda jela wake na watoto wetu...
- by adminleo
- June 1st, 2019
KINAYA: Uzalendo wa bendera umeongeza wananchi sufuria ngapi za ugali?
Na DOUGLAS MUTUA HIVI nikuulize, unawezaje kutetea tambara liitwalo bendera ilhali huna hata kitambaa cha kufutia kamasi? Na majasho...
- by adminleo
- April 14th, 2019
KINAYA: Raila, Ruto kutongozana kuna ukweli fulani haijalishi aliyeanza mwingine
NA DOUGLAS MUTUA VUNJA mtu shingo! Nani? RAO… subiri kidogo. Daktari wa Sugoi! Naam, wote wawili. Wana nini? Nawahimiza wavunjane...
- by adminleo
- December 28th, 2018
KINAYA: Wafuasi wa Samoei watatambua Murathe ni nani, watajua hawajui!
NA DOUGLAS MUTUA MAMBO vipi mtu wangu? Krismasi umekula vizuri? Mwaka nao unakuishiaje? Wangu ni vilevile tu, yaani kisiasa, kwa maana...
- by adminleo
- November 16th, 2018
KINAYA: Raia wa kawaida ni kama wakimbizi nchini mwao, wanasiasa hawawajali!
NA DOUGLAS MUTUA MWANA wa Jomo hana matiti ya kumnyonyesha mtu! Ana nini? Chupa nne za maziwa, yaani kama anayonyosheshwa mtoto mchanga...
- by adminleo
- September 24th, 2018
OBARA: Kinaya cha mwaka vijana kumrai Raila awakomboe
Na VALENTINE OBARA HAYAWI hayawi hatimaye huwa. Licha ya kilio kutoka kwa wananchi wengi hasa wenye mapato ya chini, mswada wa fedha...