• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:55 AM

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Messi kuendelea kuchezea Argentina, kocha wake atamani anogeshe fainali za dunia 2026

Na MASHIRIKA LIONEL Messi amesema hatastaafu soka ya kimataifa baada ya kuongoza Argentina kutawazwa mabingwa wa Kombe la Dunia kwa mara...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mbivu na mbichi kuhusu nani mkali kati ya Messi na Mbappe kujulikana ugani Lusail Iconic

Na MASHIRIKA MBIVU na mbichi kuhusu nani mkali kati ya kigogo Lionel Messi wa Argentina na nyota Kylian Mbappe wa Ufaransa itajulikana...

KOMBE LA DUNIA FIFA 2022: Mabingwa watetezi Ufaransa kuendea ushindi dhidi ya Australia katika Kundi D ili kuepuka mkosi wa mwaka 2002

Na MASHIRIKA LES Bleus wa Ufaransa watashuka uwanjani Al Janoub wakilenga kuzamisha chombo cha Australia katika Kundi D na kuweka hai...

Kylian Mbappe aongoza PSG kuzamisha chombo cha Juventus katika UEFA

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alipachika wavuni mabao mawili na kusaidia waajiri wake Paris Saint-Germain (PSG) kuanza kampeni za Klabu...

Mbappe afunga mabao matatu dhidi ya Metz na kuibuka Mfungaji Bora wa Ligue 1 msimu wa 2021-22

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alisherehekea maamuzi ya kutia saini mkataba mpya wa miaka mitatu kambini mwa Paris Saint-Germain (PSG) kwa...

PSG sasa wanahitaji alama moja kutokana na mechi tano ili kutawazwa wafalme wa Ligue 1

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walilazimika kusubiri zaidi kabla ya kunyanyua taji la Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kwa mara ya...

PSG kumpa Mbappe ofa mpya ya Sh23.4 bilioni ili asihamie Real Madrid msimu huu

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) wamefichua mpango wa kumpokeza mshambuliaji Kylian Mbappe ofa mpya ya Sh23.4 bilioni ili atie...

AS Monaco waaibisha PSG katika Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA KOCHA Mauricio Pochettino amesema matokeo duni yaliyosajiliwa na Paris Saint-Germain (PSG) dhidi ya AS Monaco katika Ligi...

PSG watandika Brest na kufungua pengo la alama 11 kileleni mwa jedwali la Ligue 1

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walikomoa Brest 2-0 mnamo Jumapili na kufungua pengo la alama 11 kati yao na nambari mbili Nice...

Mbappe na Lewandowski wapinga mpango wa FIFA kuandaa Kombe la Dunia kila baada ya miaka miwili

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI Kylian Mbappe wa Paris Saint-Germain (PSG) na timu ya taifa ya Ufaransa na fowadi Robert Lewandowski wa Bayern...

Mbappe aongoza PSG kuzamisha Monaco ligini

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifunga mabao mawili na kusaidia Paris Saint-Germain (PSG) kukung’uta AS Monaco 2-0 katika Ligi Kuu ya...

Kylian Mbappe anayeaminiwa na Paris Saint-Germain na Ufaransa katika utafutaji wa mabao.

NA GEOFFREY ANENE KIGOGO Kylian Mbappe ni mchana-nyavu anayeaminiwa na Paris Saint-Germain na Ufaransa katika utafutaji wa...