• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 4:40 PM

Sonko alaumu mkono wa Raila, Uhuru kwa masaibu yake

Na BENSON MATHEKA ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko, ameanza kutapatapa kuhusu masaibu yake ya kisiasa akiwalaumu viongozi wa...

Maseneta roboti

Na CHARLES WASONGA KURA ya kumtimua Gavana Mike Sonko wa Nairobi mnamo Alhamisi usiku imewaangazia maseneta kama mateka wa vigogo wakuu...

Sonko ndiye alijichimbia shimo lake – Wataalamu

Na CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko alianza kujiangusha mwenyewe mwezi mmoja baada ya kubuniwa kwa Idara ya Huduma...

Sonko azongwa

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Nairobi Mike Sonko jana Alhamisi alikabiliwa na wakati mgumu kujitetea mbele ya maseneta dhidi ya mashtaka...

Sonko nje

Na CHARLES WASONGA HATIMAYE maseneta Alhamisi usiku walipiga kura ya kuidhinisha hoja ya kumtimua afisini Gavana wa Kaunti ya Nairobi...

Sonko ni kufa kupona akijaribu kujinusuru leo

Na COLLINS OMULO SENETI leo Jumatano itaandaa kikao spesheli kuanza kusikiliza kutimuliwa kwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko. Kikao...

Baadhi ya maseneta wapinga kung’atuliwa kwa Sonko

Na CHARLES WASONGA BAADHI ya maseneta sasa wanadai kuwa ujanja wa Gavana wa Nairobi Mike Sonko wa kutoteua Naibu wake huenda ukamwokoa...

Sonko adai kamati ya maseneta 11 haitamtendea haki katika kuamua hatima yake

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Nairobi Mike Sonko amepinga vikali pendekezo kwamba mashtaka kwenye hoja ya kumtimua afisini yachambuliwe...

Lusaka achapisha rasmi notisi ya seneti kujadili hatima ya Sonko

Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Seneti Ken Lusaka amechapisha kwenye gazeti rasmi la serikali notisi ya kikao maalum cha maseneta...

Seneti kuamua jinsi Sonko atakavyojitetea

COLLINS OMULLO na IBRAHIM ORUKO GAVANA wa Nairobi, Bw Mike Sonko, atajua Jumatano mfumo ambao maseneta watatumia kumpa nafasi ya...

Sonko amejihami vilivyo kuokoa kazi yake isimtoke

Na COLLINS OMULO GAVANA wa Kaunti ya Nairobi, Bw Mike Sonko, anajiandaa kukabili madai yaliyotolewa dhidi yake na madiwani ambao...

Sonko ajua hajui

COLLINS OMULO na FADHILI FREDRICK NJAMA, vitimbi na vioja vya Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko kujaribu kujinasua kutoka kwa ‘kinywa...