Tag: mombasa
- by adminleo
- October 25th, 2019
Wito kaunti iondoe dampo la Mwakirunge
Na MISHI GONGO WAKAZI wa Mwakirunge mjini Mombasa wanaitaka serikali ya kaunti iliondoe dampo huko, wakisema wameanza kuathiriwa na...
- by adminleo
- February 23rd, 2019
BI TAIFA FEBRUARI 23, 2018
FAITH MUTHEU ni Katibu katika Kampuni ya Mawakili inayopatikana jijini Mombasa. Uraibu wake ni kusoma riwaya, kuogelea na kutazama...
- by adminleo
- December 18th, 2018
Mikakati ya kumaliza kero la uhalifu Mombasa
MOHAMED AHMED Na WACHIRA MWANGI VIONGOZI wa kisiasa na maafisa wa usalama Kaunti ya Mombasa, wamechukua hatua za kukomesha mauaji ambayo...
- by adminleo
- October 18th, 2018
Tumbojoto kwa matajiri walionyakua ardhi Mombasa karibu na Bahari Hindi
NA MOHAMED AHMED HALI YA TUMBOJOTO imewashika matajiri katika Kaunti ya Mombasa na kwingineko nchini kwa hofu ya kubomolewa kwa majumba...
- by adminleo
- October 8th, 2018
OBARA: Kaunti ya Mombasa inakosea kupuuza wawekezaji wadogo
Na VALENTINE OBARA SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa kwa miezi kadhaa sasa imekuwa ikijivunia jinsi utalii unavyofufuliwa katika kaunti...
- by adminleo
- September 19th, 2018
KAULI YA WALIBORA: Haya si maendeleo ya usasa wa Kiswahili
NA PROF KEN WALIBORA Bwana mmoja aitwaye Nassoro Mwinyi niliyekutana naye Mombasa alinipa mambo mengi ya kutafakuri kuhusu taaluma za...
- by adminleo
- August 6th, 2018
KURUNZI YA PWANI: Miraa inavyovunja ndoa baada vijana kukosa nguvu chumbani
Na WINNIE ATIENO Ndoa nyingi zimeathirika katika kaunti ya Mombasa huku vijana waliofikisha umri wa kuoa wakishindwa kufanya hivyo...
- by adminleo
- June 14th, 2018
Joho amkaribisha Uhuru Mombasa kwa shangwe
Na KAZUNGU SAMUEL GAVANA wa Mombasa Hassan Joho Alhamisi alimkaribisha Mombasa Rais Uhuru Kenyatta kwa mbwembwe na kuhitimisha uhasama...
- by adminleo
- May 28th, 2018
KIBARANI: Licha ya kero lake, jaa limefaa wengi
Na CHARLES ONGADI WIKI iliyopita, garimoshi la kubeba mafuta lilianguka eneo la Kibarani, sababu kuu ikisemekana kuwa takataka....
- by adminleo
- May 14th, 2018
Gavana atishia kupiga marufuku tuktuk
Na WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa ametishia kupiga marufuku shughuli za usafiri kwa kutumia tuktuk na bodaboda kufuatia utovu wa...
- by adminleo
- May 14th, 2018
Joho sasa aamua kushirikiana na Uhuru
MOHAMED AHMED Na VALENTINE OBARA GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho, hatimaye amelegeza kamba na kutangaza atashirikiana na serikali ya Rais...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Pwani yaapa kujisuka upya kuingia serikalini 2022
Na KAZUNGU SAMUEL VIONGOZI wa Pwani wanapanga kuungana na kuwa katika serikali mwaka wa 2022 na wakapendekeza kuwa Gavana wa Kilifi,...