Tag: mombasa
- by adminleo
- April 30th, 2020
Mmiliki nyumba ang’oa paa, avunja milango akidai kodi
MISHI GONGO na WINNIE ATIENO FAMILIA nne katika mtaa wa Mikindani eneobunge la Changamwe, zimeachwa bila makao baada ya mwenye nyumba...
- by adminleo
- April 14th, 2020
Kibra na Mombasa maeneo hatari kwa ueneaji wa corona
VALENTINE OBARA na WACHIRA MWANGI BANDARI ya Mombasa na mtaa wa Kibra ulio Kaunti ya Nairobi, ni miongoni mwa maeneo ambayo yamo...
- by adminleo
- March 10th, 2020
CORONA: Salamu za mikono zapigwa marufuku Mombasa
Na WINNIE ATIENO KAUNTI ya Mombasa imepiga marufuku wakazi kusalimiana kwa mikono, kukumbatiana au kubusiana kama mojawapo ya mbinu za...
- by adminleo
- February 24th, 2020
FORT JESUS: Historia, utamaduni, utalii, sanaa na utafiti
NA RICHARD MAOSI Ngome ya Fort Jesus inasifika kote ulimwenguni kutokana na muundo wake wa kipekee, mbali na kuchangia kwa uchumi wa...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Kampuni ya kusambaza maji Mombasa yapinga madai ya mazingira duni
Na MISHI GONGO KAMPUNI ya Usambazaji wa maji ya Mombasa (Mowasco) imepinga madai yaliyoibuliwa na baadhi ya wafanyakazi wanaolalamikia...
- by adminleo
- January 24th, 2020
Vijana watatiza hotuba ya Aisha Jumwa
MOHAMMED AHMED na CHARLES WASONGA KUNDI la vijana mjini Mombasa, Ijumaa limemzomea Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa alipokuwa akiwahutubia...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Karibuni Mombasa lakini…
CHARLES WASONGA NA BENSON MATHEKA VIONGOZI wanaounga mkono mchakato wa maridhiano (BBI) wamewakaribisha wenzao wa mrengo wa Tangatanga...
- by adminleo
- January 16th, 2020
Wakazi walia kero la kunguni Mombasa
Na DIANA MUTHEU WAKAZI katika baadhi ya mitaa Kaunti ya Mombasa, wanahangaika baada ya kunguni kufurika manyumbani mwao na magari ya...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Presha yamzidi Sultan kaunti ikikosa mawaziri
NA DIANA MUTHEU GAVANA wa Kaunti ya Mombasa Hassan Joho anazidi kunyoshewa kidole cha lawama kwa kubakia kimya baada ya kukosa kutangaza...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Mtoto alivyoibwa baada ya kuzaliwa, hospitali lawamani
WINNIE ATIENO, MOMBASA Bi Victoria Zubeida (pichani) alitembea katika Kituo cha Matibabu cha Mikindani huko Jomvu, Kaunti ya Mombasa...
- by adminleo
- January 7th, 2020
Moto waharibu mali yenye thamani kubwa katika duka la magodoro Mombasa
Na MISHI GONGO MALI yenye thamani kubwa imeteketea mjini Mombasa baada ya moto kuzuka katika duka la kuuza magodoro na vitambaa. Duka...
- by adminleo
- November 23rd, 2019
Kesi dhidi ya bodi ya Mama Ngina Waterfront yatupwa
Na PHILIP MUYANGA BODI ya usimamizi iliyokuwa imeteuliwa na Waziri wa Utalii kusimamia eneo la kujipumzisha la Mama Ngina Waterfront...