Tag: mume kigongo
- by T L
- September 27th, 2022
MUME KIGONGO: Mazoezi ya jioni kwa waume bora kuliko asubuhi
NA CECIL ODONGO WANAUME wanapata faida tele kiafya wanapofanya mazoezi ya viungo jioni kuliko asubuhi, wataalamu wamebaini. Utafiti...
- by T L
- July 19th, 2022
MUME KIGONGO: Kuendesha baiskeli kunaweza kuathiri nguvu za kiume – Utafiti
NA LEONARD ONYANGO KUENDESHA baiskeli ni moja ya mazoezi yanayopigiwa upatu katika kuboresha afya. Baadhi ya wataalamu wanasema kuwa...
- by T L
- June 28th, 2022
MUME KIGONGO: ‘Magonjwa ya wanawake’ ambayo yanaumiza wanaume kimya kimya
NA LEONARD ONYANGO KUTOKANA na tofauti ya kimaumbile, baadhi ya magonjwa hulemea jinsia moja kuliko nyingine. Kwa mfano, baadhi ya...
- by T L
- June 14th, 2022
MUME KIGONGO: Wataalamu sasa waonya kuwa kuumwa na kichwa wakati wa ngono ni hatari
NA LEONARD ONYANGO JE, unakabiliwa na maumivu ya kichwa baada ya kushiriki tendo la ndoa? Ikiwa jibu lako ni ndio, usiwe na shaka...
- by T L
- May 24th, 2022
MUME KIGONGO: Wataalamu sasa wahusisha ugumba na kansa ya matiti kwa wanaume
NA LEONARD ONYANGO WANAUME wasio na uwezo wa kutungisha mimba wako katika hatari ya kukabiliwa na tatizo la kansa ya matiti, utafiti...
- by T L
- April 19th, 2022
MUME KIGONGO: Ukitumia viagra una hatari ya kupata upofu, utafiti wadai
NA LEONARD ONYANGO HUKU idadi ya wanaume wanaopoteza maisha yao baada ya kumeza kiholela tembe za kuongeza nguvu za kiume – almaarufu...
- by T L
- April 5th, 2022
MUME KIGONGO: Kiasi kidogo cha pombe japo hatari, huboresha mbegu za kiume – Utafiti
NA LEONARD ONYANGO WANAUME wamejipata katika njiapanda kuhusu ubugiaji wa pombe huku watafiti wakidai kuwa kiasi kidogo kinaweza...
- by T L
- March 22nd, 2022
MUME KIGONGO: Kunenepa matiti ni kawaida lakini kunaweza kuwa tatizo la kiafya pia
NA LEONARD ONYANGO KUONGEZEKA kwa ukubwa wa matiti miongoni mwa wanaume (gynecomastia) ni tatizo la kawaida. Watafiti wanasema kuwa...
- by T L
- March 15th, 2022
MUME KIGONGO: Kulala chini ya saa 5 kwa siku kutakugeuza bwege chumbani
NA LEONARD ONYANGO KUKOSA msukumo wa kufanya mapenzi miongoni mwa wanaume kumekuwa kukihusishwa na baadhi ya vyakula, kutofanya mazoezi,...
- by T L
- March 8th, 2022
MUME KIGONGO: Ole wako ikiwa unapendelea chupi zinazobana na kuoga maji moto!
NA LEONARD ONYANGO WANAUME wanaovalia chupi zilizobana sana na kuoga maji moto kwa muda mrefu wanajitia katika hatari ya kukabiliwa na...
- by T L
- February 1st, 2022
MUME KIGONGO: Mazoezi magumu kupindukia hupunguza hamu ya mapenzi
NA LEONARD ONYANGO MAZOEZI ya viungo yana faida tele kwa afya yako. Mazoezi haya yanakuwezesha kupunguza uzani, kuboresha afya ya moyo,...
- by T L
- January 25th, 2022
MUME KIGONGO: Makapera hatarini kuugua moyo, wanasema wataalamu
NA LEONARD ONYANGO MWANAUME anayeishi maisha ya ukapera baada ya kutalikiana na mkewe au kuachwa na wapenzi yuko katika hatari kubwa ya...