• Nairobi
  • Last Updated May 21st, 2024 8:55 PM

MUME KIGONGO: Mazoezi ya jioni kwa waume bora kuliko asubuhi

NA CECIL ODONGO WANAUME wanapata faida tele kiafya wanapofanya mazoezi ya viungo jioni kuliko asubuhi, wataalamu wamebaini. Utafiti...

MUME KIGONGO: Kuendesha baiskeli kunaweza kuathiri nguvu za kiume – Utafiti

NA LEONARD ONYANGO KUENDESHA baiskeli ni moja ya mazoezi yanayopigiwa upatu katika kuboresha afya. Baadhi ya wataalamu wanasema kuwa...

MUME KIGONGO: ‘Magonjwa ya wanawake’ ambayo yanaumiza wanaume kimya kimya

NA LEONARD ONYANGO KUTOKANA na tofauti ya kimaumbile, baadhi ya magonjwa hulemea jinsia moja kuliko nyingine. Kwa mfano, baadhi ya...

MUME KIGONGO: Wataalamu sasa waonya kuwa kuumwa na kichwa wakati wa ngono ni hatari

NA LEONARD ONYANGO JE, unakabiliwa na maumivu ya kichwa baada ya kushiriki tendo la ndoa? Ikiwa jibu lako ni ndio, usiwe na shaka...

MUME KIGONGO: Wataalamu sasa wahusisha ugumba na kansa ya matiti kwa wanaume

NA LEONARD ONYANGO WANAUME wasio na uwezo wa kutungisha mimba wako katika hatari ya kukabiliwa na tatizo la kansa ya matiti, utafiti...

MUME KIGONGO: Ukitumia viagra una hatari ya kupata upofu, utafiti wadai

NA LEONARD ONYANGO HUKU idadi ya wanaume wanaopoteza maisha yao baada ya kumeza kiholela tembe za kuongeza nguvu za kiume – almaarufu...

MUME KIGONGO: Kiasi kidogo cha pombe japo hatari, huboresha mbegu za kiume – Utafiti

NA LEONARD ONYANGO WANAUME wamejipata katika njiapanda kuhusu ubugiaji wa pombe huku watafiti wakidai kuwa kiasi kidogo kinaweza...

MUME KIGONGO: Kunenepa matiti ni kawaida lakini kunaweza kuwa tatizo la kiafya pia

NA LEONARD ONYANGO KUONGEZEKA kwa ukubwa wa matiti miongoni mwa wanaume (gynecomastia) ni tatizo la kawaida. Watafiti wanasema kuwa...

MUME KIGONGO: Kulala chini ya saa 5 kwa siku kutakugeuza bwege chumbani

NA LEONARD ONYANGO KUKOSA msukumo wa kufanya mapenzi miongoni mwa wanaume kumekuwa kukihusishwa na baadhi ya vyakula, kutofanya mazoezi,...

MUME KIGONGO: Ole wako ikiwa unapendelea chupi zinazobana na kuoga maji moto!

NA LEONARD ONYANGO WANAUME wanaovalia chupi zilizobana sana na kuoga maji moto kwa muda mrefu wanajitia katika hatari ya kukabiliwa na...

MUME KIGONGO: Mazoezi magumu kupindukia hupunguza hamu ya mapenzi

NA LEONARD ONYANGO MAZOEZI ya viungo yana faida tele kwa afya yako. Mazoezi haya yanakuwezesha kupunguza uzani, kuboresha afya ya moyo,...

MUME KIGONGO: Makapera hatarini kuugua moyo, wanasema wataalamu

NA LEONARD ONYANGO MWANAUME anayeishi maisha ya ukapera baada ya kutalikiana na mkewe au kuachwa na wapenzi yuko katika hatari kubwa ya...