Tag: mwanamume kamili
- by adminleo
- June 22nd, 2019
MWANAMUME KAMILI: Katika ulaji wa raha zenu msichafue bustani zetu
Na DKT CHARLES OBENE BINADAMU anaweza kuwa jitu kwa vipawa alivyotunukiwa, lakini si kitu pasi na mazingiza mema. Ulimwengu...
- by adminleo
- May 24th, 2019
MWANAMUME KAMILI: Heri udondoke jasho ukulini kuliko mate madanguroni!
Na CHARLES OBENE MARA kwa mara tunakumbana na magogo ya wanaume wanaokesha madanguroni na kwenye vilabu vya walevi wanywaji ngongo kama...
- by adminleo
- May 11th, 2019
MWANAMUME KAMILI: Ukware wa wanaume wa leo umechangia aibu mazishini!
Na DKT CHARLES OBENE NIMEWAHI kuzungumzia haja ya wanaume wa leo kuwajibika kabla mauti na fedheha kuwafika siku za mwisho. Hili liwe...
- by adminleo
- April 19th, 2019
MWANAMUME KAMILI: Kucheza na dume la leo ni kuhatarisha shoka fuvuni!
Na CHARLES OBENE DAMU ya usalata ingali ardhini, vidimbwi vidogo vidogo vya huzuni vimetulia na kushikamana na ardhi kama ithibati ya...
- by adminleo
- April 12th, 2019
MWANAMUME KAMILI: Ukipendwa pendeka, nayo macho ya pembeni yazibe!
Na CHARLES OBENE KILA mara tunashuhudia vita vya nyumbani baina ya watu ambao ni muhali kuzozana! Si ajabu kwamba wachumba wa leo...
- by adminleo
- March 30th, 2019
MWANAMUME KAMILI: Nyie mnaotangazia umma ya chumbani ni gumegume
Na DKT CHARLES OBENE VITA vya wapendanao mitandaoni fedheha kwa jamaa na jamii. Lau tungekuwa wenye akili timamu, tungekoma usabasi...
- by adminleo
- March 16th, 2019
MWANAMUME KAMILI: Mfujaji jasho lake hana budi kujiandaa kwa dhiki uzeeni
Na DKT CHARLES OBENE LABDA umewahi kuwaona wazee wa makamo wanaolala kwenye milango ya maduka ama kwenye stani ya mabasi ukajiuliza...
- by adminleo
- March 9th, 2019
MWANAMUME KAMILI: Katika usasa, hakuna nafasi ya upofu wa akili, nafsi na ari
Na DKT CHARLES OBENE KINYUME na wanavyodhani wanaume kwa wanawake wazembe wa leo, mwanadamu awe mkubwa ama mdogo ana nafasi yake katika...
- by adminleo
- March 2nd, 2019
KIJIWENI: Mwanamume kamili
Na DKT CHARLES OBENE IJE mvua lije jua, kamwe sitathubutu kudunisha juhudi za mamangu mzazi! Daima nitajizatiti na kujikaza kisabuni...