Tag: NHIF
- by adminleo
- February 15th, 2020
Ripoti yaanika uozo katika bima ya kitaifa ya afya NHIF
NASIBO KABALE NA SAMWEL OWINO MATUMIZI mabaya wa fedha za umma, ulaghai, matumizi mabaya ya mamlaka na ufisadi ni miongoni mwa sababu...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Mabadiliko katika NHIF yapingwa vikali
Na CECIL ODONGO MUUNGANO wa Vyama vya Wafanyakazi Kenya (COTU) umepinga arifa iliyopendeza mabadiliko mapya kwa wanaokiuka kulipa ada...
- by adminleo
- January 9th, 2020
Masharti kwa wanachama wapya wa NHIF
Na BENSON MATHEKA SHIRIKA la Bima ya Kitaifa ya Afya (NHIF) limetoa masharti makali kwa wanachama wapya kuanzia mwezi huu, ambayo lazima...
- by adminleo
- October 30th, 2019
Bodi ya NHIF ilitumia Sh38 milioni kwa mikutano – Mhasibu
Na SAMWEL OWINO IMEBAINIKA kwamba Hazina ya Kitaifa ya Bima ya Afya (NHIF) ilitumia Sh38 milioni za walipa ushuru kuandaa mikutano ya...
- by adminleo
- August 4th, 2019
NHIF kulipa bili za wanafunzi wanaojifungua
NA FAITH NYAMAI WATAHINIWA wa mitihani ya kitaifa ya KCPE na KCSE ambao watajifungua wakati wa zoezi hilo, watapokea huduma za...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Kaunti yafadhili familia 16,870 kwa NHIF
NA KALUME KAZUNGU FAMILIA 16,870 ambazo hazijiwezi zimepokea kadi za Bima ya Afya ya Hospitalini (NHIF) chini ya udhamini mkuu wa...
- by adminleo
- March 10th, 2019
Wakenya wasifu hatua ya korti kuzima amri ya NHIF
Na ANITA CHEPKOECH WAKENYA wamefurahia hatua ya Mahakama Kuu kutupilia mbali amri ya hazina ya bima ya kitaifa ya afya (NHIF) kwamba...
- by adminleo
- December 11th, 2018
Walioiba pesa za NHIF wanastahili adhabu ya wauaji, asema DPP
NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji alieleza mahakama ya kuamua kesi za ufisadi kuwa wakuu 21 katika...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Polisi kulinda afisi za Webtribe Ltd
Na RICHARD MUNGUTI POLISI Jumatano waliagizwa wawazuilie wakurugenzi wawili wa kampuni iliyokodiwa kutoa huduma kwa hazina ya kitaifa ya...
- by adminleo
- December 10th, 2018
Mkinzano katika kesi ya NHIF
Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji alieleza mahakama ya kuamua kesi za ufisadi kuwa wakuu 21 katika...
- by adminleo
- November 19th, 2018
Nyongeza ya ada za NHIF yapingwa
Na ERIC MATARA SHIRIKISHO la Watumizi wa Bidhaa nchini (COFEK) limepinga mipango ya serikali kupandisha ada za malipo ya Hazina ya...