Tag: sukari
Matumaini tele kiwanda cha sukari kianze kunguruma tena
Na SHABAN MAKOKHA KIWANDA cha sukari cha Mumias ambacho hakijakuwa kikihudumu kwa muda wa miaka mitatu baada ya kuporomoka, huenda...
Serikali kuharibu sukari ya Sh1 bilioni kutoka Zimbabwe
Na LEONARD ONYANGO SERIKALI imepanga kuharibu sukari ya thamani ya mamilioni ya fedha kutoka Zimbabwe ambayo imekuwa katika Bandari ya...
Mswada wa mbunge kuinua sekta ya sukari
Na BRIAN OJAMAA MBUNGE wa Kanduyi Wafula Wamunyinyi amesema kuwa mswada kuhusu sekta ya sukari aliowasilisha Bungeni unalenga kuboresha...
Kampuni ya Mumias mbioni kurejelea usagaji wa miwa
Na SHABAN MAKOKHA KAMPUNI ya Sukari ya Mumias imeanza shughuli za kuhesabu miwa ili kubaini idadi iliyopo, ikilenga kurejelea tena...
- by adminleo
- August 8th, 2020
AWINO: Wanasiasa wasitatize ufufuzi wa sekta ya sukari
Na AG AWINO IWAPO umewahi kuishi karibu na kampuni za kusaga miwa nchini, basi unaelewa maana ya ‘moshi mweupe’. Moshi huu huleta...
- by adminleo
- July 27th, 2020
Musalia, Wetang’ula wataka hakikisho kuhusu sukari
Na DENNIS LUBANGA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya, Moses Wetang’ula,...
- by adminleo
- July 16th, 2020
Viongozi Magharibi wamtaka Rais atimize ahadi ya kufufua sekta ya sukari
SHABAN MAKOKHA na CHARLES WASONGA WABUNGE wa Jubilee kutoka Magharibi mwa Kenya wameitaka serikali kufadhili mpango wa ustawishaji...
- by adminleo
- June 29th, 2020
Visa vya akina mama kulipwa miraa mabinti wakilala na wazee vyaripotiwa Lamu
Na KALUME KAZUNGU BAADHI ya akina mama kwenye vijiji vingi vya Waboni, Kaunti ya Lamu wamelaumiwa kwa kushawishika kulipwa miraa na...
- by adminleo
- February 27th, 2020
SEKTA YA SUKARI: Ripoti ya kufufua sekta ya sukari yatoa tumaini jipya kwa wadau
Na AG OWINO MAPENDEKEZO ya mageuzi katika sekta ya sukari ambayo yamekuwa yakisukumwa na Tume ya Kubinafsisha Mashirika ya Serikali...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Rais aahidi kutekeleza mapendekezo ya sukari
Na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ameahidi kuwa serikali itatekeleza mapendekezo ya jopokazi kuhusu sukari kama sehemu ya juhudi zinazoendelea...
- by adminleo
- November 5th, 2019
Wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Mumias watimuliwa
Na SHABAN MAKOKHA KANDARASI za wafanyakazi wote wa kiwanda cha sukari cha Mumias zimefutwa huku meneja mrasimu akisema anapanga kuajiri...
- by adminleo
- October 14th, 2019
Oparanya ashutumu wanaopinga juhudi za kufufua Mumias Sugar
Na SHABAN MAKOKHA GAVANA wa Kakamega Wycliffe Oparanya amewashutumu baadhi ya wanasiasa kutoka eneo la Magharibi kwa kupanga njama ya...