Tag: talanta yangu
- by T L
- September 19th, 2022
TALANTA: Gwiji wa zumari
NA PATRICK KILAVUKA ALIONESHA kwamba uwezo wa kutumia mikono waweza kuwa wa heri katika kutimiza ndoto alipoibuka bora katika mashindano...
- by T L
- May 16th, 2022
Kindiki sasa aamua kujiondoa katika siasa baada ya uchaguzi ujao
ALEX NJERU na JURGEN NAMBEKA SENETA wa Tharaka Nithi Professa Kithure Kindiki aliyependelewa na wengi kuwa mgombea mwenza wa naibu wa...
- by T L
- May 16th, 2022
TALANTA YANGU: Matunda ya mfumo wa CBC
NA PATRICK KILAVUKA ANALENGA kukuza talanta yake ya ushonaji na usanii hadi awe msanifishaji wa mitindo siku za usoni kwa kutumia mbinu...
- by T L
- April 18th, 2022
TALANTA YANGU: Anainukia katika uchoraji vibonzo
NA PATRICK KILAVUKA ANAAMINI uchoraji wa vibonzo ni taaluma kwa sababu kuna wanavibonzo ambao wanapata posho kwa kuchora vibonzo...
- by T L
- April 4th, 2022
TALANTA YANGU: Kijana mkwasi wa vipaji atia fora
NA PATRICK KILAVUKA MSUKUMO, ari, bidii ya mchwa, nidhamu na pia mawasilisho ya gazeti ya Taifa Leo na mitihani iliyochapishwa gazetini,...
- by T L
- March 21st, 2022
TALANTA YANGU: Mkariri na mwigizaji machachari
NA PATRICK KILAVUKA UMACHACHARI wa mwigizaji wa mashairi Seline Khole, 9, mwanafunzi wa shule ya msingi ya Mother Margherita, Kawangware...
- by T L
- March 7th, 2022
TALANTA YANGU: Yeye ni kinanda cha uimbaji
NA PATRICK KILAVUKA TALANTA ya mtoto ikichochewa mapema iwe ya masomo, sanaa au ya michezo inaweza kuwa kitovu cha kufaulu katika maisha...
- by T L
- February 21st, 2022
TALANTA YANGU: Rais mchoraji
NA PATRICK KILAVUKA KIONGOZI anafaa kuwa kielelezo kwa jamii. Kujitolea kuwa kiongozi kuna maana ya kubeba mzigo wa wale...
- by T L
- January 31st, 2022
TALANTA YANGU: Mwanaskauti wa kuigwa
Na PATRICK KILAVUKA ANASEMA mshawasha wake wa kuwa kiongozi unatokana na vile kiongozi wa upinzani Raila Amollo Odinga hujisuka kisiasa...
- by T L
- January 10th, 2022
TALANTA YANGU: Dogo mkali wa mitindo
NA RICHARD MAOSI FANI ya uanamitindo miongoni mwa jinsia ya kiume inaendelea kupata umaarufu katika safu ya kimataifa, na itaendelea...
- by T L
- December 27th, 2021
TALANTA YANGU: Dogo mnyumbuaji viungo aliyekolea
Na WYCLIFFE NYABERI LENAH Kebaya, 9, ni mwanafunzi wa Gredi ya Tatu katika shule ya msingi ya Manga Highway Complex, kaunti ya...
- by T L
- November 29th, 2021
TALANTA YANGU: Kiongozi wa maskauti
Na RICHARD MAOSI KIONGOZI wa bendi ya maskauti anafaa kuwa na maono ya juu, wakati wa kutoa mwongozo ili kukipa kikosi chake...