Mhadhara wa kumuenzi Prof Ken Walibora sasa kufanyika Aprili 9
NA WANDERI KAMAU MHADHARA wa Umma wa kumuenzi marehemu Prof Ken Walibora, uliopangiwa kufanyika Aprili 10, 2024, umeratibiwa upya, ambapo sasa utafanyika Aprili 9, 2024. Kulingana na Prof Ernest Mohochi, ambaye ni miongoni mwa waandalizi wakuu wa mhadhara huo, mabadiliko hayo yanatokana na uwezekano wa sikukuu ya Eid Ul-Fitr kuwa aidha Aprili 10 au Aprili […]