KAULI YA MATUNDURA: Walibora alivyopagazwa wizi wa miswada
Na BITUGI MATUNDURA MAKALA ya mwandishi Ken Walibora ‘Ukarimu wa Wallah katika tasnia pana ya Kiswahili’ (Taifa Leo, Machi 9, 2017) yaliibua kumbukumbu muhimu katika akili yangu. Katika makala hayo, Walibora – ambaye nimewahi kudai kuwa ni mmoja wa waandishi aali wa fasihi ya/kwa Kiswahili Afrika ya Mashariki kuwahi kuonekana mpaka sasa, na katika makala […]