• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

BBI yalewesha wanasiasa

Na BENSON MATHEKA WANASIASA nchini wanaendelea kuzama katika mchakato wa kubadilisha katiba kupitia BBI na kusahau masuala muhimu...

Kanisa laomba Rais apige breki BBI

Na VALENTINE OBARA VIONGOZI wa makanisa sasa wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta asimamishe mchakato wa kurekebisha katiba, ili kupokea...

Acha katambe

Na VALENTINE OBARA WAZIRI Mkuu wa zamani, Bw Raila Odinga, amemtaka Naibu Rais William Ruto ajiandae kupinga mswada wa kura ya maamuzi...

BBI: Sahihi za kimabavu

Na WAANDISHI WETU RAIA katika maeneo tofauti ya nchi wamelalamika kwamba maafisa wa utawala wa serikali kuu wanawalazimisha kutia sahihi...

Kwa nini tunapinga BBI

Na BENSON MATHEKA MSWADA wa kubadilisha katiba kupitia mchakato wa maridhiano, maarufu kama BBI, una njama fiche ya kurejesha nchi...

BBI inavyofufua ndoto za kisiasa za wanasiasa waliobwagwa 2017 na kuwaweka pazuri kushinda 2022

Na CHARLES WASONGA MCHAKATO wa ukusanyaji wa sahihi za kufanikisha marekebisho ya Katiba kupitia kura ya maamuzi umefufua ndoto za...

Handisheki kufa baada ya refarenda

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, amesema kwamba, ukuruba wake na Rais Uhuru Kenyatta utafikia kikomo baada ya...

BBI: Gavana Nyoro aongoza wakazi wa Kiambu kutia saini

Na LAWRENCE ONGARO GAVANA wa Kaunti ya Kiambu Dkt James Nyoro na viongozi wa eneo hilo waliongoza wakazi kutia saini kuidhinisha mswada...

BBI: Bondeni kwagawanyika

EVANS KIPKURA na ONYANGO K’ONYANGO SIASA za ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI) zinaendelea kuwagawanya viongozi wa Bonde la Ufa...

Hisia mseto kuhusu BBI

Na CHARLES WASONGA VIONGOZI wa kisiasa Alhamisi waliibua hisia mseto kuhusu ripoti ya BBI baada ya kuzinduliwa kwa shughuli ya...

Uhuru aelezea matumaini ya BBI ‘kusuluhisha changamoto zote nchini’

CHARLES WASONGA na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta amesema utaratibu wa kubadilisha katiba kupitia mpango wa BBI utasaidia kusuluhisha...

BBI: Uhuru, Raila wapuuza vilio

Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga jana Jumatano walipuuza wito wa makundi mbalimbali kuwa...