Tag: tahariri
- by T L
- March 12th, 2022
TAHARIRI: Adhabu kwa Gor Mahia iwe funzo kwa timu zinazozua ghasia viwanjani
NA MHARIRI BAADA ya ghasia kuzuka katika uwanja wa MISC Kasarani wakati timu ya Gor Mahia ilipokuwa ikicheza na Vihiga Bullets mnamo...
- by T L
- March 11th, 2022
TAHARIRI: Serikali isilegeze kamba inapokabili wahuni katika bodaboda
NA MHARIRI MSAKO wa polisi unaoendelea nchini dhidi ya wahudumu wa bodaboda unapasa kudumishwa hadi wahalifu wote ambao wamegeuza sekta...
- by T L
- March 10th, 2022
TAHARIRI: Usahihishaji wa KCPE uzingatie haki za walimu
NA MHARIRI BAADA ya kukamilika kwa mtihani wa kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE), sasa macho yote ni kwa shughuli ya usahihishaji na...
- by T L
- March 8th, 2022
TAHARIRI: Jamii itajuta kuvumilia wahalifu walio kwa bodaboda
NA MHARIRI WAKATI uchukuzi wa umma kwa njia ya pikipiki ulipoanza kuvuma miaka michache iliyopita, haingetarajiwa kwamba sekta ya...
- by T L
- March 7th, 2022
TAHARIRI: KCPE: Serikali ihakikishe kila mtoto anafanya mtihani wake
NA MHARIRI KWA siku tatu zijazo, wanafunzi milioni moja na laki mbili watafanya mtihani wa kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE) katika vituo...
- by T L
- February 25th, 2022
TAHARIRI: Walimu wasihujumu mitihani ya kitaifa wakitafuta ujira bora
NA MHARIRI HABARI za hivi punde kwamba walimu, kupitia vyama vyao vya kitaifa wametishia kufanya mgomo wa kitaifa na hivyo kuvuruga...
- by T L
- February 24th, 2022
TAHARIRI: Si lazima lugha ya mama iwe ya kugawanya raia wa nchi
NA MHARIRI JUMATATU wiki hii, ulimwengu uliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Lugha ya Mama. Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na...
- by T L
- February 23rd, 2022
TAHARIRI: Serikali ikabili mfumko wa bei za bidhaa kuokoa raia
NA MHARIRI MAPEMA juma hili kumekuwepo mjadala mkali sana katika mitandao ya kijamii huku Wakenya wenye ghadhabu wakiishambulia serikali...
- by T L
- February 22nd, 2022
TAHARIRI: Wadau wasikubali propaganda duni zitumike kuharibu mahusiano mema
NA MHARIRI MAAFISA wa kitengo cha Jinai (DCI) jana Jumatatu walimwalika mwanasiasa Stanley Livondo. Mwaliko huo ulikuwa wa kuchukua...
- by T L
- February 21st, 2022
TAHARIRI: Tuwachuje wanasiasa kwa makini mara hii
NA MHARIRI KIPINDI cha pili cha mfumo wa ugatuzi kinapoelekea kukamilika kuna baadhi ya kaunti ambazo hazijaonja matunda ya utawala wa...
- by T L
- February 6th, 2022
TAHARIRI: Serikali inafanya mzaha na mtaala wa CBC
NA MHARIRI INASIKITISHA kuwa huku inaposalia miezi 11 pekee kabla ya mkumbo wa kwanza wa wanafunzi wanaosoma chini ya Mtaala mpya wa...
- by T L
- February 5th, 2022
TAHARIRI: Wadau wakuu sasa fanyeni jambo Stars irejee kileleni
NA MHARIRI KIPUTE cha Kombe la Afrika (AFCON) kinapokamilika kesho kwa mchuano wa ndovu kumla mwanawe baina ya Senegal na Misri,...