• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 10:44 AM

NASAHA: Kufeli kunapaswa kukupa nguvu mpya badala ya kukukatiza tamaa

Na HENRY MOKUA JAMII imetuzoesha kuukubali ushindi daima na kuchukia kufeli. Stadi zinazoangaziwa mno ni za kuyasherehekea matokeo...

NASAHA: Fanya uamuzi wa dhati kuhusu taaluma uitakayo mapema ujifae

Na HENRY MOKUA DUKA la Mzee Zakayo ni duka la kawaida sana. Unapolitazama kwa nje unaweza kumwonea imani mzee wa watu – mbona mzee...

NASAHA: Ipe mipango yako ya kiakademia kipaumbele ili upate ufanisi

Na HENRY MOKUA WIKENDI iliyopita nilimzuru jamaa yangu fulani kushauriana naye kuhusu mradi fulani aliokuwa anauwazia. Niliwahi...

NASAHA: Kujitolea kukuza vipaji vya wengine kutakupa fursa ya kujiboresha

Na HENRY MOKUA WATU wengi husikika wakiguna kila mara Simon Cowell anapomtaka mwimbaji akatize wasilisho lake katika mashindano ya Got...

NASAHA: Matokeo ya KCPE yanampa mzazi na mwana fursa kuwianisha matarajio

Na HENRY MOKUA AGHALABU mtu anapowekeza katika shughuli fulani, matarajio yake huwa makuu. Iwe ni katika shughuli za kilimo, biashara...

NASAHA: Hakikisho la kufanya vizuri ndicho kichocheo kwa mwanafunzi kufanya vyema

Na HENRY MOKUA NILIKUWA nimekamilisha wasilisho langu tayari kuondoka Nasir aliponiwahi mlangoni na kushtakia angependa kusema nami...

NASAHA: Nukta muhimu za kuzingatia mitihani ya kitaifa inapojongea

Na HENRY MOKUA SIKU ambayo umekuwa ukiingoja sana, ambayo ulikuwa ukiiona kwa mbali tu miaka minne au minane iliyopita inazidi...

NASAHA: Chukua hatua kuimarisha kumbukumbu yako unapojiandaa kwa mtihani

Na HENRY MOKUA NAAMINI unazidi kujiandaa kukabiliana na mtihani wako wa mwisho wa muhula au wa kitaifa ikiwa wewe ni mtahiniwa wa...

NASAHA: Tusaidie katika kutambua na kukuza talanta za wadogo wetu

Na HENRY MOKUA WIKENDI hii nilijaliwa kukutana na mwandishi chipukizi ambaye pia ni mtahiniwa wa Mtihani wa Cheti cha Kuhitimu Masomo ya...

NASAHA: Jiandae kisaikolojia kukabiliana na halamba halumbe zijazo za masomo

Na HENRY MOKUA HUKU shule zikitarajiwa kufunguliwa karibuni, pana haja ya maandalizi ya kisaikolojia miongoni mwa maandalizi mengine kwa...

NASAHA: Wanawake waliopewa udhuru Ramadhan na wanachotakiwa kufanya

Na MISHI GONGO RAMADHAN ni Mwezi wa tisa katika kalenda ya Kiislamu. Funga au Saumu katika mwezi huo ni nguzo ya nne katika dini...

NASAHA ZA RAMADHAN: Khutba ya Swala ya Idd hutolewa tu baada ya watu kuswali

Na SHEIKH MOHAMED KHALIFA TUNAPOELEKEA ukingoni mwa mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani, kilicho fikirani mwa waumini kote ulimwenguni ni...