Tag: soko
- by T L
- October 31st, 2021
Wakazi walia kucheleweshewa soko
Na MAUREEN ONGALA WAFANYABIASHARA mjini Mariakani, Kaunti ya Kilifi, wamelalamikia hatua ya serikali ya kaunti hiyo kuchelewesha...
Wakazi wa Gatukuyu kupata soko jipya
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa eneo la Gatukuyu lililoko Gatundu Kaskazini, watanufaika kutokana na mradi wa ujenzi wa soko...
Matumaini kaunti ikisaka soko la maembe ng’ambo
NA STEPHEN ODUOR Serikali ya kaunti ya Tana River imeanza kuweka mikakati itakayoiwezesha kuuza zao la maembe katika masoko ya nchi za...
Vyoo vya soko la Witeithie vyabomolewa
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa kijiji cha Witeithie, Juja, Kaunti ya Kiambu, wameshangaa Jumanne asubuhi, wakati vyoo vyao walivyojengewa...
- by adminleo
- July 10th, 2020
Ujenzi wa soko la kisasa Garissa wakaribia kukamilika
NA FARHIYA HUSSEIN UJENZI wa soko la kisasa katika Kaunti ya Garissa umefikia asimimia 75, amesema Waziri wa Ardhi katika kaunti hiyo...
- by adminleo
- May 9th, 2020
Soko la Tononoka hatari, mtaalamu wa afya aonya
Na WINNIE ATIENO WATAALAMU wa afya wametoa tahadhari dhidi ya sehemu hatari katika Kaunti ya Mombasa ambapo wakazi wanaendelea kukiuka...
- by adminleo
- April 27th, 2020
UVUNDO: Wakazi Tononoka wataka sehemu mbadala itafutwe kwa ajili ya soko
Na MISHI GONGO WAKAZI wanaoishi katika eneo la Tononoka mjini Mombasa, wameiomba serikali ya kaunti hiyo itafute sehemu mbadala kuweka...
- by adminleo
- April 11th, 2020
Soko jipya la Limuru lafunguliwa
Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Limuru wamepata afueni baada ya soko jipya la Limuru kufunguliwa rasmi. Gavana wa Kaunti ya Kiambu Dkt...
- by adminleo
- April 9th, 2020
Afueni baada ya masoko Githurai kufunguliwa
NA SAMMY WAWERU Wafanyabiashara wa masoko ya Githurai wamepata afueni baada ya kuruhusiwa kuendeleza shughuli zao, wiki mbili baada ya...
- by adminleo
- April 2nd, 2020
Afueni kwa wafanyabiashara baada ya soko kufunguliwa
Na LAWRENCE ONGARO WACHUUZI wa kuuza vyakula katika Soko kuu la Madaraka , Makongeni, Thika wamepata afueni baada ya Soko hilo...
- by adminleo
- October 3rd, 2019
Ujenzi wa soko la Githurai waanza
Na SAMMY WAWERU UJENZI wa soko la Githurai maarufu kama Jubilee Market na lililoko eneobunge la Ruiru, Kaunti ya Kiambu,...
- by adminleo
- September 15th, 2019
Miaka 10 baadaye, soko la Free Area, Nakuru halijakamilika
NA RICHARD MAOSI SOKO aliloanzisha Rais Uhuru Kenyatta akiwa waziri wa fedha mnamo 2009, katika eneo la Free Area, Kaunti ya Nakuru,...