Tag: SUDAN
- by T L
- December 11th, 2021
DOUGLAS MUTUA: Sudan hatarini kutekwa na jeshi kama Misri
Na DOUGLAS MUTUA WAZIRI Mkuu wa Sudan, Bw Abdallah Hamdok, ameingia kwenye kumbukumbu za historia kama kiongozi aliyepinduliwa kisha...
- by T L
- November 22nd, 2021
Hatimaye mwafaka wapatikana Sudan
KHARTOUM, Sudan Na MASHIRIKA UTAWALA wa jeshi nchini Sudan umekubali kumrejesha mamlakani Waziri Mkuu aliyeng’olewa mamlakani,...
- by T L
- November 19th, 2021
Wanajeshi waua waandamanaji 14
Na MASHIRIKA KHARTOUM, SUDAN MADAKTARI nchini Sudan wamesema watu 14 waliuawa Jumatano kwa kupigwa risasi na vikosi vya usalama, kwa...
Raia wa Sudan ndani kwa kukaidi kulipa deni
Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Sudan Jumatatu aliamriwa azuiliwe korokoroni ibainike ikiwa amelipa deni la mamilioni ya pesa kabla ya...
Maandamano yazuka nchini Sudan kuhusu uchumi, bei za bidhaa
Na AFP KHARTOUM, Sudan MAANDAMANO yalizuka katika sehemu kadhaa nchini Sudan kutokana na hali ngumu ya uchumi na kupanda kwa gharama...
Maandamano yachacha Sudan kushinikiza mageuzi
Na MASHIRIKA KHARTOUM, Sudan RAIA nchini Sudan walifanya maandamano makubwa wikendi, wakiitaka serikali ya mpito nchini humo...
- by adminleo
- June 16th, 2020
Wanafunzi wa Kenya waliokwama Sudan kurudishwa nyumbani
WACHIRA MWANGI Angalau wanafunzi 120 wa Kenya waliokwama Sudan kutokana na makataa ya kutoingia humu nchini kutokana na janga la corona...
- by adminleo
- November 30th, 2019
Baraza tawala lavunja chama cha Bashir, kunadi mali yake
Na MASHIRIKA KHARTOUM, SUDAN WATAWALA wapya nchini Sudan, Alhamisi waliagiza chama cha Rais aliyetimuliwa mamlakani Omar al-Bashir,...
- by adminleo
- September 2nd, 2019
Viongozi wa serikali mpya wamtembelea Bashir jela
NA AFP VIONGOZI wa Baraza jumuishi la uongozi nchini Sudan, jana walimtembelea aliyekuwa Rais Omar al-Bashir katika gereza maarufu la...
- by adminleo
- August 27th, 2019
Hamdok achukua hatua za kutaka kuiondoa Sudan kwenye orodha mbaya
Na MASHIRIKA SUDAN huenda ikaanza kupokea uwekezaji kutoka nchi za kigeni pamoja na ufadhili wa kifedha huku Waziri Mkuu mpya nchini...
- by adminleo
- August 16th, 2019
Mwanga wa matumaini Sudan
Na AFP KHARTOUM, Sudan MWANGA wa matumaini umeangaza nchini Sudan huku viongozi wa kijeshi na viongozi wa makundi ya waandamanaji...
- by adminleo
- July 12th, 2019
Baraza la kijeshi Sudan ladai lilitibua njama ya mapinduzi
Na MASHIRIKA BARAZA la kijeshi linalotawala Sudan, lilitibua jaribio la mapinduzi, jenerali wa cheo cha juu alitangaza kupitia runinga...