Tag: SUDAN
- by adminleo
- July 2nd, 2019
Saba wauawa raia wa Sudan wakianza upya maandamano
Na MASHIRIKA WATU saba waliuawa wakati maelfu ya raia walijitokeza kushiriki maandamano ya kushinikiza baraza la kijeshi linaloongoza...
- by adminleo
- June 26th, 2019
Shinikizo jeshi liachilie mamlaka kuanza Juni 30
Na MASHIRIKA KHARTOUM, Sudan VIONGOZI wa waandamanaji wametangaza kuwa wataanza maandamano tena baada ya Baraza la Kijeshi...
- by adminleo
- June 8th, 2019
Jeshi lazua hofu jijini baada ya Sudan kuondolewa katika AU
Na MASHIRIKA KHARTOUM, Sudan MAAFISA wa usalama waliokuwa na silaha kali waliendelea kuzunguka jiji kuu la Sudan na kufanya wakazi...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Upinzani Sudan wakataa mazungumzo na wanajeshi
Na AFP VIONGOZI wa upinzani nchini Sudan wamekataa kushiriki mazungumzo na Baraza Tawala la Kijeshi (TMC) na kuitisha haki kufuatia...
- by adminleo
- June 4th, 2019
Jeshi lawaua raia 13 nje ya makao yake
Na MASHIRIKA KHARTOUM, SUDAN WAANDAMANAJI 13 waliuawa kwa kupigwa risasi Jumatatu na wanajeshi waliokuwa wakijaribu kutawanya kundi...
- by adminleo
- May 12th, 2019
SUDAN: Waandamanaji na jeshi kurejelea majadiliano
NA AFP VIONGOZI wa waandamanaji nchini Sudan, jana walitangaza kwamba majadiliano yaliyokuwa yamesitishwa kati yao na viongozi wa...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Jeshi latangaza mageuzi mapya Sudan japo presha ya raia ingalipo
Na MASHIRIKA BARAZA tawala la kijeshi nchini Sudan limetangaza harakati mpya za mageuzi yanayolenga kuwaridhisha waandamanaji ambao...
- by adminleo
- April 11th, 2019
Bashir ajiuzulu, waziri afunga anga na mipaka
MASHIRIKA NA DANIEL OGETTA RAIS wa Sudan, Hassan Umar Al-Bashir hatimaye amejiuzulu kufuatia migomo ya kila mara iliyosababishwa na bei...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Waandamanaji Sudan wakaidi hali ya hatari
Na MASHIRIKA WAANDAMANAJI nchini Sudan wamesisitiza kuendelea kukaidi agizo la Rais Omar al-Bashir la kusitisha maandamano dhidi yake...
- by adminleo
- February 4th, 2019
SIASA ZA SUDAN: Hali halisi ya utovu wa demokrasia
NA TAREK CHEIKH Uasi dhidi ya serikali unasambaa kote nchini Sudan. Kilichoko hatarini si hatima ya Rais Omar al-Bashir pekee, bali...
- by adminleo
- January 8th, 2019
Maandamano yachacha Sudan, 800 wakamatwa
MASHIRIKA NA PETER MBURU ZAIDI ya watu 800 wametiwa mbaroni katika maandamano ya pingamizi dhidi ya serikali nchini Sudan, waziri mmoja wa...
- by adminleo
- September 10th, 2018
Rais wa Sudan awapiga kalamu mawaziri wote
MASHIRIKA NA PETER MBURU KHARTOUM, SUDAN Rais wa Sudan Omar al-Bashir amefuta mawaziri 31 wa nchi hiyo na kuteua Waziri Mkuu mpya ambaye...