Tag: vijana
- by adminleo
- December 27th, 2018
JARED OUNDO: Anahakikisha vijana wamesalia nguzo ya jamii
NA PAULINE ONGAJI Alianza kujihusisha na masuala ya kunasihi vijana akiwa katika kidato cha pili na miaka kumi baadaye mchango wake...
- by adminleo
- December 1st, 2018
Ukimwi: Maambukizi kwa vijana yanatisha
VERAH OKEYO na ANGELA OKETCH WATAFITI na wataalamu wa afya wanaadhimisha Siku ya Ukimwi Ulimwenguni hii leo wakitoa wito kwa taifa...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Inavunja moyo kuona viongozi vijana wafisadi – Uhuru
RUTH MBULA Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta Jumatatu aliwaingilia vijana walio katika nafasi za uongozi akisema wale waliokabidhiwa...
- by adminleo
- October 1st, 2018
TAHARIRI: Wadau watatue shida za vijana
NA MHARIRI KUONGEZEKA kwa visa vya kujitoa uhai miongoni mwa vijana ni jambo ambalo linatishia msingi na mustakabali wa jamii ya...
- by adminleo
- September 24th, 2018
OBARA: Kinaya cha mwaka vijana kumrai Raila awakomboe
Na VALENTINE OBARA HAYAWI hayawi hatimaye huwa. Licha ya kilio kutoka kwa wananchi wengi hasa wenye mapato ya chini, mswada wa fedha...
- by adminleo
- September 17th, 2018
Vijana wataka wabunge wapunguziwe malipo
Na OSCAR KAKAI MUUNGANO wa vijana umeitaka serikali kupunguza marupurupu ya wabunge, maseneta na madiwani pamoja na kupunguza idadi ya...
- by adminleo
- June 5th, 2018
‘VIONGOZI WA KESHO’: Kaulimbiu ya UhuRuto ya kuwapa vijana kazi ilivyofeli
Na CHARLES WASONGA TANGU taifa hili lipate uhuru vijana wamekuwa wakitajwa kama, "viongozi wa kesho", lakini 'kesho' hiyo haifiki kwa...
- by adminleo
- May 11th, 2018
RIPOTI: Ugatuzi bado unawapiga chenga vijana
Na CAROLYNE AGOSA ASILIMIA 60 ya vijana nchini hawafahamu jinsi mfumo wa ugatuzi unavyofanya kazi wala majukumu ya viongozi wao wa...
- by adminleo
- April 12th, 2018
Afueni kwa vijana bunge kuwaondolea visiki vya kupata ajira
Na CHARLES WASONGA BUNGE Jumatano lilipitisha hoja inayopendekeza kupiga marufuku vijana kutozwa ada ya kulipia vyeti vinavyohitajika...
- by adminleo
- April 9th, 2018
Vijana wapanga kuvumisha utamaduni
Na KAZUNGU SAMUEL BARAZA la vijana kuhusu turathi na utamaduni Jumapili lilisema kwamba litaanzisha mikakati kabambe ya kuvumisha...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Baa zote zafungwa kulazimisha vijana kuoa
NA PETER MBURU Viongozi wa usalama kutoka eneo la Koibatek, Baringo wamefunga baa zote pamoja na maduka mengine ya kuuzia pombe, baada ya...
- by adminleo
- March 22nd, 2018
Vijana tumieni vyema Sh200 bilioni za serikali kujinufaisha – Wamalwa
Na BERNARDINE MUTANU WAZIRI wa Ugatuzi na Maeneo Kavu (ASALS) Eugene Wamalwa Alhamisi amewahimiza vijana kutwaa nafasi zilizotolewa na...