Watanzania walemea Wakenya katika tuzo za Fasihi
NA WANDERI KAMAU WATANZANIA waling’aa kwenye mashindano ya 2023 ya Tuzo ya Fasihi ya Safal-Cornell, kwa kuibuka washindi kwenye vitengo vyote. Kwenye mashindano hayo, yaliyofanyika katika hoteli moja, Ijumaa, jijini Nairobi, hakuna Mkenya hata mmoja aliyeibuka mshindi, licha ya baadhi ya waandishi nchini kuwasilisha kazi zao. Mwandalizi mkuu wa mashindano hayo huwa ni Profesa Mukoma […]