• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 5:20 PM

Wakili ataka Jumwa amlipe Sh22.6m

Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, anatakiwa kulipa kampuni ya mawakili Sh22.6 milioni kwa kumwakilisha katika kesi ya...

Umaskini wasukuma wavuvi bahari hatari

Na KALUME KAZUNGU WAVUVI katika Kaunti ya Lamu wanaendelea kuhatarisha maisha yao baharini kwa sababu ya umasikini, licha ya serikali...

Equity yakana kumpa Aydin mkopo wa Sh15 bilioni

Na CHARLES WASONGA BENKI ya Equity imekana madai ya Naibu Rais William Ruto kwamba ilimpa mkopo wa Sh15 bilioni mwandani wake, Mturuki...

Kalonzo aondolewa doa la unyakuzi Yatta

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper, Stephen Kalonzo Musyoka amesema Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) imemwondolea lawama kuhusiana na...

Raila azuru TZ akiwa njiani kurejea Kenya kutoka Zambia

Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga, Jumatano alifanya ziara ya siku moja nchini Tanzania, akiwa njiani kurejea nchini...

Wakazi wa Thika wajitokeza kwa wingi kupata chanjo ya Covid-19

Na LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa Thika walifurika kwa wingi kwenye uwanja wa michezo wa Thika ili kupokea chanjo ya Covid-19. Zaidi ya...

Serikali kutumia vijana na wanabodaboda kuendesha kampeni ya amani kuelekea 2022

Na CHARLES WASONGA SERIKALI itatumia makundi ya vijana na waendeshaji bodaboda kuendesha mipango ya kudhibiti ghasia zinazohusiana na...

Uhuru asimamisha jaji kazi

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta amemsimamisha kazi Jaji Muthoni Gathumbi wa Mahakama Kuu kufuatia ushauri wa Tume ya Huduma ya...

Mamilioni yapotelea kwenye miradi duni

Na MAUREEN ONGALA MIRADI ya kunyunyiza maji mashambani iliyoanzishwa katika Kaunti ya Kilifi imeshindwa kuletea maelfu ya wakazi eneo...

Makala ya msanii wa nyimbo za injili Mary Njuguna

NA PATRICK KILAVUKA Mapito na changamoto za maisha zilimchochea kuwahimiza wengine, kuwainua kiimani na kumtumainia Mola zaidi kupitia...

Wafanyabiashara walia ushuru ghali wamnyonga raia

BENSON MATHEKA na WINNIE ONYANDO WATENGENEZAJI bidhaa nchini wamelaumu wanasiasa kwa kutochukua hatua za kupunguzia Wakenya mzigo wa...

Polisi amuua mpenzi wa pembeni aliyelazwa hospitalini

Na STELLA CHERONO WAKAZI katika eneo la Njoro, Kaunti ya Nakuru, walikumbwa na mshtuko baada ya afisa wa polisi kumwandama mpenziwe hadi...