• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Sonko, Nassir kukutana ana kwa ana hafla ya Azimio Tononoka

NA ANTHONY KITIMO ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, ameapa kuhudhuria mkutano wa hadhara unaotarajiwa kuongozwa na kinara wa...

Raila avuna lawama za dosari za Jubilee

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amebebeshwa mzigo wa mapungufu ya serikali ya Jubilee, ambayo yanafanya safari yake ya...

Karua, Mudavadi wapendwa zaidi kwa unaibu rais

NA LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi na mwenzake wa Narc Kenya, Martha Karua ndio...

Makabiliano ya Joho na Kingi yafufuka upya

VALENTINE OBARA NA ALEX KALAMA GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, amefufua malumbano makali dhidi ya mwenzake wa Kilifi, Bw Amason...

Huwezi ukang’olewa huku ukawania kule, DPP Haji amwambia Sonko

NA CHARLES WASONGA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) amesisitiza kwamba atamzuia aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Sonko kuwania kiti...

Ruto, Raila bega kwa bega

NA LEONARD ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto na mpinzani wake mkuu Raila Odinga wako nguvu sawa kwa umaarufu nchini. Ripoti ya...

Raila atuliza vita vya ndani katika Azimio

VALENTINE OBARA NA STEPHEN ODUOR MGOMBEA urais kupitia Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga, ameanza kutuliza joto la...

ANC yafufua wito Mudavadi awe naibu wa Ruto

NA WINNIE ATIENO WANACHAMA wa Amani National Congress (ANC), wamefufua wito kumtaka Naibu Rais William Ruto, kumchagua kinara wao, Bw...

ODM yajiandaa kumnadi Nassir kutwaa ugavana

NA WINNIE ATIENO VIONGOZI wa chama cha ODM tawi la Mombasa wameanza kuweka mikakati upya kumpigia debe mwaniaji wao wa ugavana, Bw...

Ruto kufufua BBI kubuni vyeo zaidi

NA LEONARD ONYANGO NAIBU Rais William Ruto ataleta baadhi ya mabadiliko katika serikali yake iwapo atashinda urais, sawa na...

‘Muthama hataki kuwa katika jukwaa moja na Alfred Mutua’

NA JUSTUS OCHIENG HATUA ya kiongozi wa chama cha Maendeleo Chap Chap Dkt Alfred Mutua kujiunga na muungano wa Kenya Kwanza wake Naibu...

‘Umenisaliti’, Raila amwambia Kingi

NA VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amemsuta Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, kwa kuungana na mrengo wa...