• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 2:21 PM

SRC yazima tena ulafi wa wabunge

NA DAVID MWERE TUME ya Kukadiria Mishahara na Marupurupu ya Watumishi wa Umma (SRC) imepinga mswada unaopendekeza kuwa wabunge waliohudumu...

LSK yamtaka Ruto akome kuishambulia mahakama

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha Mawakili Nchini (LSK) kimemkosoa vikali Rais William Ruto kwa kudai majaji ni wafisadi huku kikimtaka...

Koome akohoa sasa

NA CHARLES WASONGA JAJI Mkuu Martha Koome sasa anamtaka mtu yeyote mwenye ushahidi kuwa majaji au maafisa fulani wa Idara ya Mahakama ni...

Ndege zagongana na kuua watu sita

Na MASHIRIKA NDEGE moja iliyokuwa imebeba abiria ililipuka moto Jumanne katika uwanja wa ndege wa Haneda jijini Tokyo, Japan baada ya...

Koome amjibu Ruto: Ikiwa una ushahidi wa majaji fisadi upeleke JSC

NA FATUMA BARIKI Jaji Mkuu na Mwenyekiti wa Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) Martha Koome amemjibu Rais William Ruto kuhusu madai kwamba...

Korti yazima mawakili kuponyoka na Sh74m

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imekanyagia mawakili wawili breki kulipwa kitita cha Sh74.3 milioni na mwekezaji kutoka Rwanda Desire...

Ushoga: Biden atupa nje Uganda katika mkataba wa kibiashara

Na VINCENT OWINO AMERIKA imezima Uganda kufaidi kutokana na mpango wa kuruhusu mataifa ya Afrika kuuza bidhaa zao Amerika bila kulipia...

Nassir atangaza makataa kwa wenye biashara zinazohitaji vibali

NA FARHIYA HUSSEIN SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imetangaza makataa ya mwisho wa Januari kwa wale wenye deni la vibali vya biashara kwa...

Majonzi kijana akitumbukia na kuangamia kisimani

NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi limetanda katika kijiji cha Geitwa kilichoko eneobunge la Kiharu, Murang'a, baada ya mvulana wa umri...

Polisi ajiumiza mwenyewe kwa risasi mdomoni

NA MWANGI MUIRURI POLISI wa kiume anayehudumu katika Kaunti ya Murang’a, amekimbizwa hospitalini akiwa hali mahututi baada ya kudaiwa...

Mnatunyima bomba la mafuta kwa nini? Uganda yashtaki Kenya EACJ

Na SAM KIPLAGAT UGANDA imeishtaki Kenya kwa kuiwekea vikwazo kampuni yake ya mafuta kutumia mabomba ya Kampuni ya Usafirishaji Mafuta...

Sitakubali mahakama itoe maamuzi ya kukwamisha miradi yangu, Ruto aapa

Na MWANGI MUIRURI Rais William Ruto ameapa kwamba hatangoja idhini za mahakama ili kutekeleza ajenda yake ya kimaendeleo kwa mujibu wa...