NA DAVID MWERE TUME ya Kukadiria Mishahara na Marupurupu ya Watumishi wa Umma (SRC) imepinga mswada unaopendekeza kuwa wabunge waliohudumu...
NA CHARLES WASONGA CHAMA cha Mawakili Nchini (LSK) kimemkosoa vikali Rais William Ruto kwa kudai majaji ni wafisadi huku kikimtaka...
NA CHARLES WASONGA JAJI Mkuu Martha Koome sasa anamtaka mtu yeyote mwenye ushahidi kuwa majaji au maafisa fulani wa Idara ya Mahakama ni...
Na MASHIRIKA NDEGE moja iliyokuwa imebeba abiria ililipuka moto Jumanne katika uwanja wa ndege wa Haneda jijini Tokyo, Japan baada ya...
NA FATUMA BARIKI Jaji Mkuu na Mwenyekiti wa Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) Martha Koome amemjibu Rais William Ruto kuhusu madai kwamba...
NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imekanyagia mawakili wawili breki kulipwa kitita cha Sh74.3 milioni na mwekezaji kutoka Rwanda Desire...
Na VINCENT OWINO AMERIKA imezima Uganda kufaidi kutokana na mpango wa kuruhusu mataifa ya Afrika kuuza bidhaa zao Amerika bila kulipia...
NA FARHIYA HUSSEIN SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imetangaza makataa ya mwisho wa Januari kwa wale wenye deni la vibali vya biashara kwa...
NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi limetanda katika kijiji cha Geitwa kilichoko eneobunge la Kiharu, Murang'a, baada ya mvulana wa umri...
NA MWANGI MUIRURI POLISI wa kiume anayehudumu katika Kaunti ya Murang’a, amekimbizwa hospitalini akiwa hali mahututi baada ya kudaiwa...
Na SAM KIPLAGAT UGANDA imeishtaki Kenya kwa kuiwekea vikwazo kampuni yake ya mafuta kutumia mabomba ya Kampuni ya Usafirishaji Mafuta...
Na MWANGI MUIRURI Rais William Ruto ameapa kwamba hatangoja idhini za mahakama ili kutekeleza ajenda yake ya kimaendeleo kwa mujibu wa...