• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Wachafu wakatazwa kufika Lamu

NA KALUME KAZUNGU WATU wachafu wasiopenda shughuli za usafi hawana lao katika kisiwa cha Lamu kwa sababu hilo ni eneo ambalo viongozi na...

Corona ilimfungua macho kuanzisha kampuni ya huduma za kidijitali

NA PETER CHANGTOEK JANGA la ugonjwa wa Covid-19 lilipoanza na kisha kusambaa katika nchi mbalimbali ikiwemo Kenya, biashara na shughuli...

Je, wafahamu kwamba mikoko ina matunda? Ila si mikoko yote!

NA KALUME KAZUNGU MWAMBAO wa Pwani unafahamika sana kwa kuwa na msitu wa mikoko kutokana na kwamba eneo hilo linapakana na Bahari...

KVDA yawaondolea hofu wakazi ikisema ni vigumu bwawa la Turkwel kutapika maji

NA OSCAR KAKAI KUFUATIA mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini, kiwango cha maji katika bwawa la Turkwel katika kaunti ya Pokot...

Askari jela aliyemwaga unga akitibiwa aomba arudishwe kazini

NA GEORGE ODIWUOR WAZAZI na nduguze Joseph Ochoro walikuwa na furaha sana waliposikia angejiunga na Idara ya Magereza. Ulikuwa mwaka...

MC: Mfahamu chifu ‘simpo’ anayezipa sherehe ‘tempo’ ya nguvu kwa madoido

NA KALUME KAZUNGU NI mtindo wa machifu na maafisa wengine wengi wa utawala nchini kuonekana wakiwa wamevalia sare, kikiwemo kirauni...

Sarah afichua sababu ya kukatalia mbali penzi la Diamond Platnumz

NA SINDA MATIKO BAADA ya Diamond Platnumz kumtambulisha rasmi ex-wake Sarah aliyemfanya kuitunga hiti yake ya kwanza 'Kamwambie'...

Hana haraka ya kunioa rasmi japo aliahidi nikishajifungua

Shangazi; Hujambo. Nilianza kuishi na mpenzi wangu miaka miwili iliyopita baada ya kunipa mimba. Alikuwa ameniahidi tutaenda kwa wazazi...

Mwanamume ndani kwa kudaiwa kuiba za ndani

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja anayeshukiwa kuwa kinara wa wizi wa nguo za ndani za wanawake katika Kaunti ya Murang’a, ametiwa...

Fahamu magonjwa yanayoweza kuenea kwa kasi msimu huu wa mafuriko nchini

NA WANGU KANURI KWA wiki kadhaa sasa, tumekuwa tukishuhudia mvua kubwa ambayo imesababisha majanga tofauti nchini. Angalau watu 70...

Wanafunzi 18 wa MKU kushiriki shindano la kimataifa la Huawei

NA LAWRENCE ONGARO WANAFUNZI 18 wa Chuo Kikuu cha Mount Kenya (MKU) watashiriki shindano la kimataifa la Huawei nchini China mnamo Mei...

Tambua kwa nini asali ya mkokoni imekolea utamu kuliko ya maeneo mengine

NA KALUME KAZUNGU ASALI ni zao la nyuki ambalo tangu jadi linasifika kwa utamu wake. Hutengenezwa na wadudu hao kutoka kwa mkusanyika au...