• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Makuu aliyokusudia kufanya Jenerali Ogolla katika eneo la Boni

NA KALUME KAZUNGU VIONGOZI na wakazi wa maeneo yanayokumbwa na utovu wa usalama Kaunti ya Lamu wamefichua jinsi kifo cha ghafla cha Mkuu...

Wilson Lemkut: Shujaa aliyewaokoa watoto 16 ziwani Baringo

KEN RUTTO Na LABAAN SHABAAN HII ni simulizi iliyojaa ushujaa. Simulizi ya Bw Wilson Lemkut aliyewaokoa watoto 16 waliokuwa karibu wafe...

Mwanamume asema kutojaliwa mtoto kumezidisha moyo wa kuwatetea watoto wote

NA KALUME KAZUNGU “NILIVYO Mwafrika halisi ninaamini kabisa kwamba inachukua kijiji kizima katika malezi ya mtoto. Licha ya kukosa...

Mitambo: ‘Kisiagi’ cha uchumi wa ‘kadogoo’ kisichopiga kelele

NA LABAAN SHABAAN WAKATI huu ambapo gharama ya maisha inapanda na mja anahitaji kutumia muda mwingi kujitafutia riziki, anahitaji mtambo...

Mume hujisaidia kitandani, nimechoka kufua shuka kila siku!

Shangazi, Mume wangu wa miaka 10 na nampenda sana. Tatizo ni kwamba katika muda huu wote amekuwa akikojoa kitandani tangu tuoane. Nimekuwa...

Kenya ni namba moja kwa wanaume watanashati zaidi Afrika, utafiti wasema

NA LABAAN SHABAAN KENYA imeorodheshwa kuwa namba moja kwa wanaume ‘warembo’ sana barani Afrika. Haya ni kwa mujibu wa utafiti wa hivi...

Mzozo wa familia Kisumu uliosababisha mauti na kifungo cha miaka 60 Jela

RUSHDIE OUDIA NA LABAAN SHABAAN HII ni simulizi ya familia tatu zilizounganishwa na upendo na ujirani mwema lakini zikasambaratishwa na...

Miili ya mvulana, msichana yakwama chini ya mwamba

NA OSCAR KAKAI WAKATI Bw Alfri Korianyang na mkewe, Bi Cheparkong Alfri walifika nyumbani kutoka sokoni saa moja jioni Jumanne,...

‘Taifa Leo’ linaendana na wakati tangu kuzinduliwa kwake – Wazee

NA KALUME KAZUNGU “Kumekucha! Ninapolisoma gazeti la Taifa Leo mimi binafsi huhisi kumepambazuka.” Hiyo ni kauli ya mzee na babu wa...

Wiyoni yaipa Lamu usasa mtamu

NA KALUME KAZUNGU MARA nyingi kisiwa cha Lamu kila kinapotajwa, taswira inayojichora kwa fikra za wengi ni historia, ukale, na majumba...

Letoo akiri ‘kuangusha’ wageni kwa kuweka hema la 10,000 pekee arusini

NA FRIDAH OKACHI MWANAHABARI Stephen Letoo amejibu wakosoaji wake wanaomwelekezea mishale mtandaoni kwa kuoa mke mmoja, tofauti na...

Wito Afrika izinduke kukabiliana na maradhi yasiyo ya kuambukiza

NA PAULINE ONGAJI akiwa DAR ES SALAAM, TANZANIA BARA la Afrika linakodolea macho hatari huku maradhi yasiyo ya kuambukiza yakitabiriwa...