• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 6:50 AM

Arsenal wakanyaga Fulham na kuendeleza ubabe wao katika EPL msimu huu

Na MASHIRIKA GABRIEL Magalhaes alifuta makosa yake na kufungia Arsenal bao la ushindi katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) dhidi ya...

Rekodi ya Kamworor yafutwa Antrim Half Marathon

Na GEOFFREY ANENE REKODI za Uingereza za mbio za kilomita 21 za Wakenya Geoffrey Kamworor na Edith Chelimo zimefutwa na Jemal Yimer na...

Haaland atambisha Man-City dhidi ya Crystal Palace katika EPL

Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao matatu chini ya dakika 19 za kipindi cha pili na kusaidia waajiri wake Manchester City kutoka...

Maguire aambiwa unahodha hautampa uhakika wa kuunga kikosi cha kwanza cha Man-United

Na MASHIRIKA KOCHA Eric ten Hag wa Manchester United amemsifu beki Raphael Varane na kusisitiza kuwa utepe wa unahodha si kigezo...

Everton wapata mfumaji wa kujaza pengo la Richarlson Andrade aliyeyoyomea Tottenham

Na MASHIRIKA EVERTON wameimarisha safu yao ya mbele baada ya kusajili mvamizi Neal Maupay kutoka Brighton kwa mkataba wa miaka...

Pigo kwa Chelsea jeraha likimweka nje nyota tegemeo N’Golo Kante kwa wiki nne zijazo

NA MASHIRIKA KOCHA Thomas Tuchel wa Chelsea amethibitisha kwamba kiungo tegemeo N’Golo Kante sasa atasalia mkekani kuuguza jeraha la...

Barcelona na Man-City watoshana nguvu katika mechi ya kirafiki ugani Camp Nou

Na MASHIRIKA RIYAD Mahrez alipachika wavuni penalti mwishoni mwa kipindi cha pili naye sajili mpya Julian Alvarez akafungua akaunti ya...

Man-City wapewa Chelsea, Arsenal wakionana na Brighton katika raundi ya tatu ya Carabao Cup

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City, watavaana na Chelsea katika raundi ya tatu ya Carabao...

KCB FC yakung’uta Bidco, Eastlanders kirafiki Ligi Kuu ikinukia

Na GEOFFREY ANENE WANABENKI wa KCB FC wameendelea kuandikisha matokeo mazuri wakijiandaa kwa msimu mpya wa Ligi Kuu 2022-2023 baada ya...

Barcelona, Bayern Munich na Inter Milan watiwa katika kundi gumu UEFA

Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakutana na Rangers ya Scotland katika hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu huku nyota...

Beki Eric Bailly ajiunga na Olympique Marseille kwa mkopo kutoka Man-United

Na MASHIRIKA KLABU ya Olympique Marseille nchini Ufaransa imemsajili beki Eric Bailly wa Manchester United kwa mkopo wa msimu...

PSG yaponda Lille bila huruma katika pambano la Ligi Kuu ya Ufaransa

Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifungulia Paris Saint-Germain (PSG) ukurasa wa mabao katika sekunde ya nane kwenye ushindi mnono wa 7-1...