Na MASHIRIKA GABRIEL Magalhaes alifuta makosa yake na kufungia Arsenal bao la ushindi katika mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) dhidi ya...
Na GEOFFREY ANENE REKODI za Uingereza za mbio za kilomita 21 za Wakenya Geoffrey Kamworor na Edith Chelimo zimefutwa na Jemal Yimer na...
Na MASHIRIKA ERLING Haaland alifunga mabao matatu chini ya dakika 19 za kipindi cha pili na kusaidia waajiri wake Manchester City kutoka...
Na MASHIRIKA KOCHA Eric ten Hag wa Manchester United amemsifu beki Raphael Varane na kusisitiza kuwa utepe wa unahodha si kigezo...
Na MASHIRIKA EVERTON wameimarisha safu yao ya mbele baada ya kusajili mvamizi Neal Maupay kutoka Brighton kwa mkataba wa miaka...
NA MASHIRIKA KOCHA Thomas Tuchel wa Chelsea amethibitisha kwamba kiungo tegemeo N’Golo Kante sasa atasalia mkekani kuuguza jeraha la...
Na MASHIRIKA RIYAD Mahrez alipachika wavuni penalti mwishoni mwa kipindi cha pili naye sajili mpya Julian Alvarez akafungua akaunti ya...
Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City, watavaana na Chelsea katika raundi ya tatu ya Carabao...
Na GEOFFREY ANENE WANABENKI wa KCB FC wameendelea kuandikisha matokeo mazuri wakijiandaa kwa msimu mpya wa Ligi Kuu 2022-2023 baada ya...
Na MASHIRIKA LIVERPOOL watakutana na Rangers ya Scotland katika hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu huku nyota...
Na MASHIRIKA KLABU ya Olympique Marseille nchini Ufaransa imemsajili beki Eric Bailly wa Manchester United kwa mkopo wa msimu...
Na MASHIRIKA KYLIAN Mbappe alifungulia Paris Saint-Germain (PSG) ukurasa wa mabao katika sekunde ya nane kwenye ushindi mnono wa 7-1...