NA GEOFFREY ANENE NYOTA wa timu ya Kenya ya raga ya wachezaji saba kila upande, Collins Injera yuko nchini Fiji kwa ziara ya wiki moja...
Na MASHIRIKA MANCHESTER City walitinga raundi ya nne ya Kombe la FA baada ya kuponda Chelsea 4-0 katika pambano lililowakutanisha ugani...
Na MASHIRIKA BARCELONA walifungua mwanya wa alama tatu kati yao na mabingwa watetezi Real Madrid kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya...
Na MASHIRIKA AS Roma walilazimishia mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A), AC Milan, sare ya 2-2 ugani San Siro mnamo...
NA WANDISHI WETU MABINGWA watetezi Tusker walipokea kichapo cha kwanza msimu huu wakipoteza 2-1 dhidi ya Bandari katika mechi ya Ligi Kuu...
NA MASHIRIKA ARSENAL wataanza kampeni ya kuwania taji la 15 la Kombe la FA kwa kuwaendea Oxford United ugani Kassam, hii leo...
Na MASHIRIKA REAL Madrid walipoteza fursa ya kurejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya Villarreal...
Na MASHIRIKA ALEX Iwobi anatarajiwa kusalia mkekani kwa kipindi cha wiki tatu baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu wakati wa mechi...
Na MASHIRIKA KOCHA Roberto Martinez yuko pua na mdomo kupokezwa mikoba ya timu ya taifa ya Ureno. Mhispania huyo amekuwa akishiriki...
NA MASHIRIKA CHELSEA watatua ugani Etihad leo Jumapili kwa mechi ya raundi ya tatu ya Kombe la FA itakayowapa fursa ya kulipiza kisasi...
NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Pep Guardiola alijitaja kama 'mchawi' na kumiminia sifa vijana wake wa Manchester City baada ya...
NA JOHN ASHIHUNDU SHABANA FC itajitupa uwanjani kesho Jumamosi kuikabili Mara Sugar katika pambano la Supa Ligi ya Kitaifa (NSL)...