• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 10:50 AM

Injera atua Fiji kwa mashindano ya McDonald’s Fiji Coral Coast Sevens

NA GEOFFREY ANENE NYOTA wa timu ya Kenya ya raga ya wachezaji saba kila upande, Collins Injera yuko nchini Fiji kwa ziara ya wiki moja...

Man-City wadengua Chelsea katika raundi ya tatu ya Kombe la FA

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walitinga raundi ya nne ya Kombe la FA baada ya kuponda Chelsea 4-0 katika pambano lililowakutanisha ugani...

Barcelona yazamisha Atletico na kufungua pengo la alama tatu kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA BARCELONA walifungua mwanya wa alama tatu kati yao na mabingwa watetezi Real Madrid kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya...

AC Milan na AS Roma nguvu sawa katika Serie A huku Napoli wakifungua mwanya wa alama saba kileleni mwa jedwali

Na MASHIRIKA AS Roma walilazimishia mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A), AC Milan, sare ya 2-2 ugani San Siro mnamo...

Bandari yaizamisha Tusker, Omala akibeba Gor Mahia patashika za KPL

NA WANDISHI WETU MABINGWA watetezi Tusker walipokea kichapo cha kwanza msimu huu wakipoteza 2-1 dhidi ya Bandari katika mechi ya Ligi Kuu...

Arsenal kuteremkia Oxford kombe la FA

NA MASHIRIKA ARSENAL wataanza kampeni ya kuwania taji la 15 la Kombe la FA kwa kuwaendea Oxford United ugani Kassam, hii leo...

Villarreal yazamisha Real Madrid katika La Liga

Na MASHIRIKA REAL Madrid walipoteza fursa ya kurejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya Villarreal...

Iwobi kusalia mkekani kwa wiki tatu kuuguza jeraha la kifundo cha mguu

Na MASHIRIKA ALEX Iwobi anatarajiwa kusalia mkekani kwa kipindi cha wiki tatu baada ya kupata jeraha la kifundo cha mguu wakati wa mechi...

Roberto Martinez pua na mdomo kuteuliwa kocha wa timu ya taifa ya Ureno

Na MASHIRIKA KOCHA Roberto Martinez yuko pua na mdomo kupokezwa mikoba ya timu ya taifa ya Ureno. Mhispania huyo amekuwa akishiriki...

Vita Chelsea, Man City FA leo Man Utd ikiitandika Everton

NA MASHIRIKA CHELSEA watatua ugani Etihad leo Jumapili kwa mechi ya raundi ya tatu ya Kombe la FA itakayowapa fursa ya kulipiza kisasi...

Pep asifia vijana kuwika mfululizo

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Pep Guardiola alijitaja kama 'mchawi' na kumiminia sifa vijana wake wa Manchester City baada ya...

Shabana FC kukabiliana na Mara Sugar kesho Jumamosi uwanjani Awendo Green

NA JOHN ASHIHUNDU SHABANA FC itajitupa uwanjani kesho Jumamosi kuikabili Mara Sugar katika pambano la Supa Ligi ya Kitaifa (NSL)...