• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

Pele: GOAT, Mfalme, hakuna anayefikia kiwango chake

NA JOHN ASHIHUNDU KIPAJI cha Edson Arantes do Nascimento maarufu Pele kiligunduliwa akiwa mtoto mdogo na kikamkweza hadi upeo wa kabumbu...

Sebastian Coe: Kenya inapiga hatua nzuri ya kukabili matumizi ya pufya 

NA AYUMBA AYODI  KENYA lazima iwe tayari kuumia kwa muda mfupi kutokana na aibu ya ongezeko la visa vya matumizi ya dawa za kusisimua...

Kocha wa Ingwe hajaridhika, licha ya ushindi

NA JOHN ASHIHUNDU LICHA ya kufurahia ushindi wa 1-0 dhidi ya Nairobi City Stars, kocha wa AFC Leopards Patrick Aussems amesema safu yake...

Mechi za Supa Ligi zarejea baada ya likizo

NA JOHN ASHIHUNDU MECHI za Supa Ligi ya Kitaifa (NSL) zinarejea kesho Ijumaa baada ya mapumziko ya wiki mbili wakati wa Krismasi na...

FKF kupokea Sh1.3 bilioni kutoka kwa FIFA

NA JOHN ASHIHUNDU SHIRIKISHO la Kitaifa la Soka (FKF) litapokea Sh1.3 bilioni kutoka kwa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA). Pesa hizo...

Mwinyi apiga tizi balaa akilenga kuitwa Hit Squad

NA CHARLES ONGADI BONDIA Mwinyi Kombo Faki wa klabu ya Kongowea inayoshiriki Ligi Kuu ya Ndondi Nchini anaendeleza mazoezi makali akilenga...

Pele azikwa kishujaa nje kidogo ya uwanja wa Santos

JOHN ASHIHUNDU Na MASHIRIKA GWIJI wa soka, Edson Arantes do Nascimento, maarufu kama Pele amezikwa leo Jumanne kishujaa nje kidogo ya...

Barcelona na Espanyol nguvu sawa katika mechi ya La Liga iliyoshuhudia refa akichomoa kadi 16 za manjano na mbili nyekundu

Na MASHIRIKA BARCELONA walilazimishiwa sare ya 1-1 na Espanyol katika pambano la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) mnamo Jumamosi ugani...

PSG wapoteza mechi kwa mara ya kwanza tangu Machi 2022

Na MASHIRIKA PARIS Saint-Germain (PSG) walipoteza mechi ya Ligi Kuu ya Ufaransa (Ligue 1) kwa mara ya kwanza tangu Machi 2022 baada ya...

Chelsea wapoteza alama muhimu katika EPL baada ya kuambulia sare ya 1-1 dhidi ya Nottingham Forest

Na MASHIRIKA UTEPETEVU wa Chelsea uliruhusu Nottingham Forest kutoka nyuma na kulazimishia mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu ya Uingereza...

Aston Villa washiba sifa za kocha wao Unai Emery baada ya kupepeta Tottenham 2-0 katika EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Unai Emery alikuwa mwingi wa sifa kwa masogora wake wa Aston Villa waliopokeza Tottenham Hotspur kichapo cha 2-0 katika...

Violet Nanjala aingia 2023 akiogopwa zaidi na makipa nchini Morocco

NA AREGE RUTH NYOTA wa Harambee Starlets Violet Nanjala, alifunga mwaka 2022 akiwa kileleni mwa jedwali la wafungaji bora ambapo alikuwa...