Tag: Huku Uswahilini
- by T L
- November 20th, 2022
HUKU USWAHILINI: Usishangae kuona tukichakata ubongo kupita kiasi Uswahilini
NA SIZARINA HAMISI USWAHILINI kuna mengi ambayo wale wasioishi huku wanaweza wasielewe. Kikubwa huku kwetu ni matumizi makubwa ya...
- by T L
- October 2nd, 2022
HUKU USWAHILINI: Ugomvi nyumbani ni burudani mtaa mzima
NA SIZARINA HAMISI IWAPO unaishi Uswahilini bila shaka umeshakutana na kunguru weusi. Wale kunguru ambao wamekithiri kwa wizi kama...
- by T L
- September 4th, 2022
HUKU USWAHILINI: Leo nakupasha ya Andunje, mfupi wa kimo ila kwa makeke ni noma!
NA SIZARINA HAMISI KAWAIDA wanawake wengi huwa na matarajio na mtazamo wa mwanamume ambaye anafaa kuwa kwenye uhusiano. Nao wengi...
- by T L
- July 10th, 2022
HUKU USWAHILINI: Si ajabu mwanamume kutoroka kwake, kisa vituko vya mamkwe
NA SIZARINA HAMISI KAMA ilivyo kwa wenzetu huko Uzunguni, huku kwetu Uswahilini pia tunakutana na changamoto za ndugu kutaka kujazana...
- by T L
- February 6th, 2022
HUKU USWAHILINI: Corona imeanika mikataba feki ya mapenzi huku kwetu
NA SIZARINA HAMISI HUKU Uswahilini kipindi hiki ambacho kuna sintofahamu nyingi za kiuchumi, kutiliana shaka na hata kutengana yamekuwa...
- by T L
- January 29th, 2022
HUKU USWAHILINI: Huku kwetu siku zote purukushani!
NA SIZARINA HAMISI MAISHA ya Uswahilini siku zote ni purukushani. Kwani hata ukimsaidia jirani yako chakula, omba kisije kikamdhuru....
- by T L
- December 19th, 2021
HUKU USWAHILINI: Hata sisi tumepigwa na hii corona, haijakuwa mchezo
Na SIZARINA HAMISI HUKU Uswahilini janga la corona halijatupita kando. Ingawa wengi ni wabishi wanaposhauriwa kujikinga na janga...
- by T L
- December 5th, 2021
HUKU USWAHILINI: Biashara kwetu zina raha zake
Na SIZARINA HAMISI BINAFSI, nimezaliwa katika familia ya akina dada wa kutosha. Binti azizi mmoja, dada wanne, mama mmoja, nyanya...
- by T L
- November 21st, 2021
HUKU USWAHILINI: Wema kupitiliza utapikiwa majungu
Na SIZARINA HAMISI HUKU Uswahilini, wengi wetu tunaishi nyumba za kupanga. Kwamba katika nyumba moja tumeshazoea kuishi familia zaidi...