Tag: Karanja Kibicho
- by T L
- November 15th, 2021
Msichague ‘maadui’ wa serikali – Kibicho
Na WAWERU WAIRIMU KATIBU wa Wizara ya Usalama wa Ndani, Karanja Kibicho, amewarai Wakenya kuwachagua viongozi wanaomuunga mkono Rais...
- by T L
- November 1st, 2021
Kibicho alalama kuhusu idadi ndogo ya watu waliojisajili
Na GEORGE MUNENE KATIBU wa Usalama wa Ndani, Bw Karanja Kibicho, amelalamikia idadi ya chini ya vijana ambao wamejitokeza kujisajili...
- by T L
- October 20th, 2021
Sherehe zatuliza vita vya ubabe Kirinyaga
KENNEDY KIMANTHI na GEORGE MUNENE SAWA na kaunti nyingine, Kaunti ya Kirinyaga inayoandaa sherehe za Mashujaa Dei mwaka huu 2021,...
- by T L
- October 19th, 2021
Kibicho aonya wahuni wanaopanga kusambaratisha sherehe za Mashujaa Kirinyaga
Na SAMMY WAWERU SERIKALI imetoa onyo kali kwa wahuni wanaopanga kuzua fujo wakati wa maadhimisho ya Sikukuu ya Mashujaa 2021,...
Sherehe za Mashujaa marufuku kaunti 46
Na GEORGE MUNENE SERIKALI imepiga marufuku sherehe za Mashujaa katika kaunti zote 46 katika juhudi za kuzuia maambukizi ya virusi vya...
Serikali yatangaza vita na watengenezaji pombe haramu Mlima Kenya
Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kukabiliana na unywaji wa pombe na dawa za kulevya ili kuokoa kizazi kijacho, amesema katibu katika...
Watu 10,000 pekee kuhudhuria sherehe za Mashujaa Kirinyaga
Na GEORGE MUNENE WATU 10,000 pekee ndio wanaotarajiwa kuhudhuria sherehe za Mashujaa ambazo zitafanyika Oktoba 20 katika uga wa...
Machifu sasa kulipwa pesa za kuinua motisha
Na CECIL ODONGO MAAFISA wa utawala wamevuna marupurupu makubwa baada ya Tume ya Uajiri wa Watumishi wa Umma (PSC) kuidhinisha walipwe...
Watatoboa siasani?
Na WAANDISHI WETU KIVULI cha utawala wa Jubilee huenda kikadumu katika serikali ijayo huku maafisa wakuu wa serikali ambao ni waaminifu...
Wanasiasa wachochezi kukabiliwa vikali
Na RUTH MBULA WIZARA ya Usalama wa Ndani inabuni kanuni itakayohakikisha kuwa taifa halitatumbukia kwenye ghasia jinsi ilivyoshuhudiwa...
Wamlilia Kibicho kuhusu genge Maragua
Na MWANDISHI WETU WENYEJI wa Murang’a Kusini wamemtaka Katibu wa Usalama wa Ndani Karanja Kibicho atume kikosi maalum cha kupambana na...