Tag: NDONDI
- by T L
- December 23rd, 2021
Ndondi kutua mashinani kwa fujo hatimaye
Na CHARLES ONGADI SHIRIKISHO la Ndondi Nchini (BFK) limeazimia kurudisha mashindano ya Ndondi Mashinani yanayolenga kuchipuza mabondia...
- by T L
- December 9th, 2021
Ari ya kisasi ilimsukuma kwa ndondi
Na GEOFFREY ANENE SARAH Achieng’ Ndisi hakudhania atafanikiwa kuwa bondia mtajika baada ya mazoezi yake ya kwanza mapema 2008, katika...
- by T L
- December 6th, 2021
Onyango atawazwa bingwa wa ndondi
Na CHARLES ONGADI BONDIA George Onyango alimshinda Fred Nyakesha kwa wingi wa alama na kutawazwa bingwa wa taifa katika uzito wa...
- by T L
- November 26th, 2021
Rekodi yake katika ndondi haijavunjwa Bondia wa pekee aliyepata dhahabu mashindano ya dunia
Na CHARLES ONGADI NI bondia wa pekee ambaye ametamba kwa ubora wake katika ndondi zisizo za kulipwa nchini, barani Afrika na...
- by T L
- October 26th, 2021
Ndume 3 ulingoni kwa ndondi za Serbia
Na CHARLES ONGADI MABONDIA watatu wa timu ya taifa 'Hit Squad' watapanda ulingoni leo katika juhudi za kusaka medali katika mashindano...
Matokeo mseto Kenya ikianza ndondi za majeshi nchini Urusi
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeandikisha matokeo mseto kwenye mashindano ya ndondi ya dunia ya wanajeshi baada ya Samuel Njau Wairimu kutwaa...
Mombasa yasitisha mashindano ya ndondi hadi michezo ya Olimpiki itakapotamatika
Na CHARLES ONGADI SHIRIKISHO la Ndondi Nchini (BFK) tawi la Mombasa, limesitisha shughuli zake zote hadi kumalizika kwa Michezo ya...
NDONDI: Nahodha Nick ‘Commander’ Okoth kuongoza kikosi kusaka ushindi Olimpiki
Na CHARLES ONGADI NAHODHA wa timu ya taifa ya ndondi Nick ‘Commander' Okoth ameahidi atawaongoza vyema wenzake kuvuna ushindi katika...
NDONDI: Timu ya taifa yaimarisha maandalizi ya Olimpiki
Na CHARLES ONGADI TIMU ya taifa ya ndondi imeimarisha maandalizi yake kwa michezo ya Olimpiki huku ikisalia na wiki mbili kuondoka...
Hit Squad kushiriki mashindano ya masumbwi DRC
CHARLES ONGADI TIMU ya taifa ya Ndondi 'Hit Squad' itashiriki katika mashindano Afrika Zone 3 yatakayoandaliwa jijini Jamhuri ya...
NDONDI: Kenya yasubiria nafasi mbili zaidi Olimpiki
NA CHARLES ONGADI LICHA ya kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) kufutilia mbali Mashindano ya Dunia kufuzu kushiriki Michezo ya...
- by adminleo
- May 15th, 2020
MABADILIKO: Mike Tyson mkulima hodari wa bangi baada ya kustaafu ndondi
Na GEOFFREY ANENE MIKE Tyson alikuwa bondia shupavu enzi zake katika uzani mzito. Baada ya kuangika glavu zake mwaka 2005, Mwamerika...