Tag: William Ruto
- by T L
- November 17th, 2021
Mkazi adai hakimiliki za ‘Bottom up’
Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA aliyebuni mfumo wa kiuchumi wa “Bottom Up” anaomba Mahakama Kuu iwazime wanasiasa kuutumia kama...
- by T L
- November 16th, 2021
Ruto awasuta wanaotaka ajiuzulu
Na SAMMY WAWERU NAIBU Rais William Ruto amewasuta vikali wapinzani wake kwa kumtaka ajiuzulu kufuatia hatua yake kuikosoa mara kwa mara...
- by T L
- November 7th, 2021
Wapinzani wa Ruto hawatambomoa mashinani kirahisi
Na BENSON MATHEKA WAPINZANI wa Naibu Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu wa 2022 wana kibarua kingumu kubomoa mtandao aliojenga kote...
- by T L
- November 6th, 2021
Ruto awataka viongozi wa kidini watoe mwelekeo wa kisiasa kwa waumini
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amewataka viongozi wa kidini wawe mstari wa mbele kuwahamasisha wananchi washiriki katika...
- by T L
- November 6th, 2021
Ruto kusalia Naibu hata akifurushwa Jubilee – Wataalam
Na CHARLES WASONGA IMEBAINIKA kuwa Rais Uhuru Kenyatta anakabiliwa na kibarua kikubwa kumng’oa mamlakani naibu wake William Ruto licha...
- by T L
- November 1st, 2021
Uchaguzi mdogo Ukambani wampa Ruto ujasiri
Na PIUS MAUNDU MATOKEO ya Uchaguzi Mdogo wa Wadi ya Nguu/Masumba, Kaunti ya Makueni, yamempa Naibu wa Rais William Ruto ujasiri na...
- by T L
- October 23rd, 2021
Ruto awarai vijana kutotumiwa kuzua ghasia
SHABAN MAKOKHA na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto mnamo Jumamosi aliwarai vijana kutowaruhusu wanasiasa kuwatumia kuzua ghasia...
- by T L
- October 23rd, 2021
Ruto aahirisha kikao cha wawaniaji wa Bonde la Ufa
Na VITALIS KIMUTAI NAIBU Rais William Ruto jana Ijumaa aliahirisha ghafla mkutano aliokuwa amepangiwa kufanya na wawaniaji kutoka kaunti...
- by T L
- October 22nd, 2021
Niko tayari kumenyana na mradi wa Uhuru, Ruto asema
Na CECIL ODONGO NAIBU Rais Dkt William Ruto amesema yupo tayari kupambana na ‘mradi’ wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu wa...
Ruto adai kumiliki kura za eneo la Mlima Kenya
Na STEVE NJUGUNA NAIBU Rais William Ruto amepuuzilia mbali juhudi za kiongozi wa ODM Raila Odinga kupenya Mlima Kenya. Dkt Ruto...
Ruto, Muturi wasuta mabwanyenye wa MKF kwa kudai ndio wenye ufunguo wa kura za Mlima Kenya
Na SAMMY WAWERU SIKU mbili baada ya wakfu wa wafanyabiashara kutoka Mlima Kenya - Mount Kenya Foundation (MKF) - kukutana na vinara wa...
Mumewe mbunge amlaumu Ruto vikali
Na STANLEY NGOTHO MUME wa mbunge wa Kajiado Mashariki, Peris Tobiko, Bw Kishanto Ole Suuji, amemlaumu Naibu Rais William Ruto kwa...