• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Mkazi adai hakimiliki za ‘Bottom up’

Na RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA aliyebuni mfumo wa kiuchumi wa “Bottom Up” anaomba Mahakama Kuu iwazime wanasiasa kuutumia kama...

Ruto awasuta wanaotaka ajiuzulu

Na SAMMY WAWERU NAIBU Rais William Ruto amewasuta vikali wapinzani wake kwa kumtaka ajiuzulu kufuatia hatua yake kuikosoa mara kwa mara...

Wapinzani wa Ruto hawatambomoa mashinani kirahisi

Na BENSON MATHEKA WAPINZANI wa Naibu Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu wa 2022 wana kibarua kingumu kubomoa mtandao aliojenga kote...

Ruto awataka viongozi wa kidini watoe mwelekeo wa kisiasa kwa waumini

Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amewataka viongozi wa kidini wawe mstari wa mbele kuwahamasisha wananchi washiriki katika...

Ruto kusalia Naibu hata akifurushwa Jubilee – Wataalam

Na CHARLES WASONGA IMEBAINIKA kuwa Rais Uhuru Kenyatta anakabiliwa na kibarua kikubwa kumng’oa mamlakani naibu wake William Ruto licha...

Uchaguzi mdogo Ukambani wampa Ruto ujasiri

Na PIUS MAUNDU MATOKEO ya Uchaguzi Mdogo wa Wadi ya Nguu/Masumba, Kaunti ya Makueni, yamempa Naibu wa Rais William Ruto ujasiri na...

Ruto awarai vijana kutotumiwa kuzua ghasia

SHABAN MAKOKHA na WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto mnamo Jumamosi aliwarai vijana kutowaruhusu wanasiasa kuwatumia kuzua ghasia...

Ruto aahirisha kikao cha wawaniaji wa Bonde la Ufa

Na VITALIS KIMUTAI NAIBU Rais William Ruto jana Ijumaa aliahirisha ghafla mkutano aliokuwa amepangiwa kufanya na wawaniaji kutoka kaunti...

Niko tayari kumenyana na mradi wa Uhuru, Ruto asema

Na CECIL ODONGO NAIBU Rais Dkt William Ruto amesema yupo tayari kupambana na ‘mradi’ wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu wa...

Ruto adai kumiliki kura za eneo la Mlima Kenya

Na STEVE NJUGUNA NAIBU Rais William Ruto amepuuzilia mbali juhudi za kiongozi wa ODM Raila Odinga kupenya Mlima Kenya. Dkt Ruto...

Ruto, Muturi wasuta mabwanyenye wa MKF kwa kudai ndio wenye ufunguo wa kura za Mlima Kenya

Na SAMMY WAWERU SIKU mbili baada ya wakfu wa wafanyabiashara kutoka Mlima Kenya - Mount Kenya Foundation (MKF) - kukutana na vinara wa...

Mumewe mbunge amlaumu Ruto vikali

Na STANLEY NGOTHO MUME wa mbunge wa Kajiado Mashariki, Peris Tobiko, Bw Kishanto Ole Suuji, amemlaumu Naibu Rais William Ruto kwa...