• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Ugonjwa wa Covid-19 si tena janga la dharura kimataifa – WHO

NA MASHIRIKA COVID-19 si tena janga la dharura kimataifa, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza Ijumaa, Mei 05, 2023 kuashiria hatua...

Mafuriko yaua watu 130 nchini Rwanda

NA MASHIRIKA KIGALI, RWANDA WATU 130 wamefariki kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa katika maeneo ya magharibi na...

Mtoto niliyempata anakuja na bahati ya ushindi – Mgombea

NA AFP BANGKOK, Thailand MMOJA wa wale wanaopigiwa upatu kushinda katika uchaguzi mkuu wa Thailand jana Jumatano alitaja mwanawe...

Eritrea yafungua mipaka yake kuruhusu wakimbizi wa machafuko nchini Sudan

NA TESFA-ALEM TEKLE ASMARA, ERITREA RAIS wa Eritrea Isaias Afwerki ametangaza kuwa mipaka ya nchi yake imefunguliwa kuruhusu raia wa...

Bunge la Uganda lapitisha mswada tata wa kupambana na ushoga tena bila kuondoa makali yake yaliyopingwa na Amerika

NA AFP KAMPALA, Uganda BUNGE la Uganda Jumanne lilipitisha rasimu mpya ya mswada tata wa kupambana na ushoga,...

Mvulana aokoa wenzake baada ya dereva wa basi kuzirai

NA AFP MICHIGAN, AMERIKA MVULANA mwenye umri wa miaka 13 aliibuka shujaa baada ya kuchukua usukani dereva wa basi la shule...

Waziri wa Leba wa Uganda auawa kwa kupigwa risasi

NA DAILY MONITOR KAMPALA, UGANDA WAZIRI wa Leba nchini Uganda Kanali (Mstaafu) Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi na...

Kundi la Azimio Magharibi mwa Kenya lajitenga na maandamano ya Azimio

Na SHABAN MAKOKHA BAADHI ya wabunge kutoka Magharibi mwa nchi ambao wanaegemea mrengo wa Azimio la Umoja One Kenya wametangaza kuwa...

Mabaki ya wahanga 587 wa mauaji ya kimbari yafukuliwa nchini Rwanda

NA MASHIRIKA KIGALI, RWANDA MABAKI ya wahanga 587 wa mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 dhidi ya Watutsi yamefukuliwa katika wilaya ya...

Madhehebu yenye itikadi kali yamewahi kuua wengi kimataifa

NA MASHIRIKA HUKU idadi ya miili iliyofukuliwa Shakahola, Kaunti ya Kilifi, ikiendelea kuongezeka, matukio ambapo waumini hushawishiwa...

Walioshutumu Nyeri kwa kuajiri washika panya…New York pia yaajiri mshika panya

MERCY KOSKEI NA MASHIRIKA  JIMBO la New York, Amerika limeaajiri ‘mshika panya’ wa kwanza kusaidia kupambana na ongezeko la panya...

Ajabu mama akidai mwanaye alifariki kisha kugeuka jiwe

Na BELDINA NYAKEKE (Mwandishi Mwananchi UGUMU wa maisha umetajwa kuwa sababu ya Amina Rashidi (25), mkazi wa Kijiji cha Mwabuki wilayani...